Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama mabalozi wapo Dar na wamegoma Dom basi na sisi tunakaa karibu ili kuomba iwe rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhahabu,Alma's,tanzanite,Serengeti,bandari maziwa siyo vingi kushinda kisima cha mafuta?Tuna visima vinavyotuingizia kiasi gani cha ukwasi/dolari kwa siku?
Kotekote !Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?