Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
Waliopewa uraia wa TZ, wamekuwa wanaishi Zenj tangu zamani kabla ya Uhuru!
 
Hakuna anayepinga kutoa uraia, kinachopingwa hayo mamlaka amepata wapi. Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar,yeye kachaguliwa na Zanzibar hivyo Hana hayo mamlaka.
Soma hiyo sehemu iliyo italics haina uhusiano na swali unalouliza.
 
Ndo anauliza kwanini Rai's Mwinyi ambaye ana hadhi ya Mkuu wa Mkoa ndani ya Jamhuri ya Tanzania awe na mamlaka ya kuwapa raia wa nchi nyingine uraia Wa Tanzania? Anauliza kwamba hayo Mamlaka siyo ya Rai's wa Jamhuri ya Muungani Wa Tanzania?! Mwinyi ameyatoa wapi?
Kumbuka Zanzibar siyo nchi, ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Kigoma au Mbeya.
Kama ilivo kigoma au mbeya pole sana wambie basi hao mbeya na kigoma na wao watoe huo uraia
 
Kama ilivo kigoma au mbeya pole sana wambie basi hao mbeya na kigoma na wao watoe huo uraia
Msiringie waarabu, wanyamwezi watakamata jambia tena. Uhuru wapiganie wao, uraia mtoe kwa wakomoro?
 
Nimeshangaa sana kusikia hilo maana huko Zanzibar watanganyika tunajulikama kama raia wa nchi nyingine.

Cha kusikitisha wazanzibar huku bara wanaonekana ni kwao. Tafasiri ya harakaharaka hao waliopewa uraia na mwinyi wanaweza kuja huku bara wakiwa na haki sawa za utanzania.

Kwa nini Rais wa Jamhuri ya muungano asingetoa huu uraia au aliyeandika kapotosha?


Sheria na protocol zimekaaje kwako Pascal Mayalla

Soma: Rais Mwinyi awakabidhi vyeti vya uraia wa Tanzania wahamiaji wasiohamishika 3,319
Wivu tu.
 
Mkiambiwa hamna akili mnalalama....

Kule Kenya 2021 serikali ya Kenya ilitoa uraia kwa "washona" na "wapemba" walioishi humo toka 1959....unashangaa nini kwa serikali ya Zanzibar kuyafanya hayo?!!!

Pathetic [emoji1787]
 
Mrundi Yuko nchini toka 1959...

Mmakonde wa Msumbiji Yuko Zanzibar toka 1959....

Mcomoro yuko Zenji toka 1959...

Hana makosa makubwa ya kijinai...

Ni mkazi mwema mtiifu wa SHERIA Bila shuruti....huyu naye asipewe uraia?!!!

Mtoa hoja HUNA AKILI [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Mkiambiwa hamna akili mnalalama....

Kule Kenya 2021 serikali ya Kenya ilitoa uraia kwa "washona" na "wapemba" walioishi humo toka 1959....unashangaa nini kwa serikali ya Zanzibar kuyafanya hayo?!!!

Pathetic [emoji1787]
Kinachozungumzwa hapa na unachojibu ni vitu 2 tofauti
 
Ndo anauliza kwanini Rai's Mwinyi ambaye ana hadhi ya Mkuu wa Mkoa ndani ya Jamhuri ya Tanzania awe na mamlaka ya kuwapa raia wa nchi nyingine uraia Wa Tanzania? Anauliza kwamba hayo Mamlaka siyo ya Rai's wa Jamhuri ya Muungani Wa Tanzania?! Mwinyi ameyatoa wapi?
Kumbuka Zanzibar siyo nchi, ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Kigoma au Mbeya.
Katiba ya Zanzibar haizuii rais kutoa uraia....
 
Swala cyo kulalamika Sheria inasemaje?

Ukijua sheria inasemaje, itakusaidia nini! Hata suala la bandari kwa upande wangu naunga ujio wa dp world, hapo nyuma umefaidika na nini? Au wewe ni mmoja wao wa wapiga dili pale bandarini??? Funguka
 
Back
Top Bottom