Inakuwaje Rais wa Zanzibar anawapa wahamiaji Uraia wa Tanzania?

Waliopewa uraia wa TZ, wamekuwa wanaishi Zenj tangu zamani kabla ya Uhuru!
 
Hakuna anayepinga kutoa uraia, kinachopingwa hayo mamlaka amepata wapi. Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar,yeye kachaguliwa na Zanzibar hivyo Hana hayo mamlaka.
Soma hiyo sehemu iliyo italics haina uhusiano na swali unalouliza.
 
Kama ilivo kigoma au mbeya pole sana wambie basi hao mbeya na kigoma na wao watoe huo uraia
 
Kama ilivo kigoma au mbeya pole sana wambie basi hao mbeya na kigoma na wao watoe huo uraia
Msiringie waarabu, wanyamwezi watakamata jambia tena. Uhuru wapiganie wao, uraia mtoe kwa wakomoro?
 
Wivu tu.
 
Kwani kuna shida znz wakitoa uraia? Kinachokuuma ni nini! Fanya kazi acha kulalamika
 
Mkiambiwa hamna akili mnalalama....

Kule Kenya 2021 serikali ya Kenya ilitoa uraia kwa "washona" na "wapemba" walioishi humo toka 1959....unashangaa nini kwa serikali ya Zanzibar kuyafanya hayo?!!!

Pathetic [emoji1787]
 
Mrundi Yuko nchini toka 1959...

Mmakonde wa Msumbiji Yuko Zanzibar toka 1959....

Mcomoro yuko Zenji toka 1959...

Hana makosa makubwa ya kijinai...

Ni mkazi mwema mtiifu wa SHERIA Bila shuruti....huyu naye asipewe uraia?!!!

Mtoa hoja HUNA AKILI [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Mkiambiwa hamna akili mnalalama....

Kule Kenya 2021 serikali ya Kenya ilitoa uraia kwa "washona" na "wapemba" walioishi humo toka 1959....unashangaa nini kwa serikali ya Zanzibar kuyafanya hayo?!!!

Pathetic [emoji1787]
Kinachozungumzwa hapa na unachojibu ni vitu 2 tofauti
 
Katiba ya Zanzibar haizuii rais kutoa uraia....
 
Swala cyo kulalamika Sheria inasemaje?

Ukijua sheria inasemaje, itakusaidia nini! Hata suala la bandari kwa upande wangu naunga ujio wa dp world, hapo nyuma umefaidika na nini? Au wewe ni mmoja wao wa wapiga dili pale bandarini??? Funguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…