Inakuwaje safari ya Rais inagharamiwa na Wananchi wachache ambao hawataji majina yao? Je, haya sio mazingira ya kulipana fadhila kwa ufisadi?

Inakuwaje safari ya Rais inagharamiwa na Wananchi wachache ambao hawataji majina yao? Je, haya sio mazingira ya kulipana fadhila kwa ufisadi?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Rais anaenda kukaa USA zaidi ya wiki mbili.

Huko anaenda kufanya shughuli za kiserekali na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa filamu ya royal tour.

Kila siku tunaambiwa hii filamu ilitengenezwa kwa pesa kiasi cha bil 7 na sio pesa za Serikali.

Sisi akina Kabwela tukajua ni pesa za akina Greenberg na kampuni yao yao CBS.

Baadae mkuu wa nchi anaibuka akiwa jijini Arusha na kudi kuwa ni pesa zilizochangwa na watanzania.

Je, ni akina nao waliochanga kimya kimya ili kufanikisha Royal tour?

Je, wamejitolea bila hata kutegemea chochote?

Kwa nini zisitumike pesa za Umma? Au ndio kuandaa mazingira?
 
Sukuma gang mnateseka sana mwaka huu! Na bahati mbaya kwwnu safari ndio kwanza imeanza...Mama has 8 more years to go so you will have to deal with it! Huu upuuzi unaouliza uliwahi jiuliza wakati serikali inajenga uwanja wa ndege Chato hiyo hela iliyoongezeka nje ya bajeti ilitoka wapi? Na kwanini kampuni ya mhusika tena isiyo na uzoefu ndio ipewe tenda ya ujenzi uliokuzwa thamani?

Uliwahi kuuliza kwanini Tanroad watu wa mabarabara wapewe tender ya kuagiza mtambo wa sukari na kuingia mitini baada ya kulipwa hela?
 
Huyu hangaya NI mwongo pesa ya serikali NI fedha za wananchi labda kama hajui utofauti wa serikali na wananchi
 
Hilo libibi ni JIZI. Limefadhiliwa na madalali wa corona na wapiga debe wa CHANJO.

Baada ya muda tutajua tu ajenda iliyojificha nyuma ya Royal Tour.
 
Labda kuna mema lakini swali ni ulitumika utaratibu gani kuomba michango, na wachangaja watapata nini?
 
Rais anaenda kukaa USA zaidi ya wiki mbili.

Huko anaenda kufanya shughuli za kiserekali na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa filamu ya royal tour.

Kila siku tunaambiwa hii filamu ilitengenezwa kwa pesa kiasi cha bil 7 na sio pesa za Serikali.

Sisi akina Kabwela tukajua ni pesa za akina Greenberg na kampuni yao yao CBS.

Baadae mkuu wa nchi anaibuka akiwa jijini Arusha na kudi kuwa ni pesa zilizochangwa na watanzania.

Je, ni akina nao waliochanga kimya kimya ili kufanikisha Royal tour?

Je, wamejitolea bila hata kutegemea chochote?

Kwa nini zisitumike pesa za Umma? Au ndio kuandaa mazingira?
Give her a break please ! Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa Nyankurungu2020 unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato mwaka jana mwezi Machi
 
Give her a break please ! Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa Nyankurungu2020 unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato mwaka jana mwezi Machi
Wacha tuambiwe hayo mapesa kayatoa wapi na analipwa nini?

Au kapewa na makundi ya wahuni walio nyuma ya Urais wake!

Au madalali wa machanjo ya ajabu ajabu!

Lazima tujue hii! Hatutaki Marais vibaraka wa wahuni.
 
Give her a break please ! Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa Nyankurungu2020 unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato mwaka jana mwezi Machi
Mbona unajitoa fahamu? Rais anachangiwa na pesa za mifukoni za watu?
 
Ulitaka achangiwe na nani sasa? Akitumia za Serikali mnasema matumizi mabaya zingetosha kujenga shule? Amepata wafadhili manataka kujuwa majina. STUPID
Ziara ya kiserikali nani angehoji? Au alienda kwa ziara binafsi?
 
Rais anaenda kukaa USA zaidi ya wiki mbili.

Huko anaenda kufanya shughuli za kiserekali na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa filamu ya royal tour.

Kila siku tunaambiwa hii filamu ilitengenezwa kwa pesa kiasi cha bil 7 na sio pesa za Serikali.

Sisi akina Kabwela tukajua ni pesa za akina Greenberg na kampuni yao yao CBS.

Baadae mkuu wa nchi anaibuka akiwa jijini Arusha na kudi kuwa ni pesa zilizochangwa na watanzania.

Je, ni akina nao waliochanga kimya kimya ili kufanikisha Royal tour?

Je, wamejitolea bila hata kutegemea chochote?

Kwa nini zisitumike pesa za Umma? Au ndio kuandaa mazingira?
Ikulu ni mahali patakatifu,
 
Give her a break please ! Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa Nyankurungu2020 unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato mwaka jana mwezi Machi
Ana haki ya kuhoji, huyo ni raisi na sio mama wa familia.
 
Wacha tuambiwe hayo mapesa kayatoa wapi na analipwa nini?

Au kapewa na makundi ya wahuni walio nyuma ya Urais wake!

Au madalali wa machanjo ya ajabu ajabu!

Lazima tujue hii! Hatutaki Marais vibaraka wa wahuni.
Ulichanga wakati wito wa uchangiaji umewekwa wazi?
 
Unaamini huo ujinga, kama ni hivyo tunataka mwishoni mwa hii filamu wawataje hayo majina ya walio changia.

Vinginevyo wakubali tu tumerudi enzi za upigaji
Ni Sawa ila angalau fuatilia basi hata kama palikuwa na mchakato wa uchangiaji, mfumo wa uchangiaji ulikuwaje, palikuwa na account maalum au la kabla hujataka kuwafahamu waliochanga.
 
Back
Top Bottom