Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Rais anaenda kukaa USA zaidi ya wiki mbili.
Huko anaenda kufanya shughuli za kiserekali na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa filamu ya royal tour.
Kila siku tunaambiwa hii filamu ilitengenezwa kwa pesa kiasi cha bil 7 na sio pesa za Serikali.
Sisi akina Kabwela tukajua ni pesa za akina Greenberg na kampuni yao yao CBS.
Baadae mkuu wa nchi anaibuka akiwa jijini Arusha na kudi kuwa ni pesa zilizochangwa na watanzania.
Je, ni akina nao waliochanga kimya kimya ili kufanikisha Royal tour?
Je, wamejitolea bila hata kutegemea chochote?
Kwa nini zisitumike pesa za Umma? Au ndio kuandaa mazingira?
Huko anaenda kufanya shughuli za kiserekali na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa filamu ya royal tour.
Kila siku tunaambiwa hii filamu ilitengenezwa kwa pesa kiasi cha bil 7 na sio pesa za Serikali.
Sisi akina Kabwela tukajua ni pesa za akina Greenberg na kampuni yao yao CBS.
Baadae mkuu wa nchi anaibuka akiwa jijini Arusha na kudi kuwa ni pesa zilizochangwa na watanzania.
Je, ni akina nao waliochanga kimya kimya ili kufanikisha Royal tour?
Je, wamejitolea bila hata kutegemea chochote?
Kwa nini zisitumike pesa za Umma? Au ndio kuandaa mazingira?