Inakuwaje salio la akaunti ya benki linaonekana lakini ukitaka kuchukua pesa unaambiwa salio halitoshi?

Inakuwaje salio la akaunti ya benki linaonekana lakini ukitaka kuchukua pesa unaambiwa salio halitoshi?

Kama ni NMB na unatumia card ya chapchap ibadilishe hiyo Kuna kiwango Cha pesa kikifika unakua huwez kutoa hela had ukabadilisha card nafikiri kipindi Cha nyuma ilikua 5M accnt ikifikisha tu hiyo hela card ya chapchap haitoi had upewe Mastercard
 
Back
Top Bottom