mkuu umepata chochote kitu cha kuingia kinywani mwako leo??
Kenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sanaHabari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.
Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,
napitia comment
Ww kama ww mkuu ushawalipa uliowaajiri ,???
Kwan ni dhambi akituelezaa mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.
Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,
napitia comment
Waiuze nchini,walipie madeni yoteMatumizi ya kwanza kwenye bajeti ni kulipa madeni... Serikali ikiambiwa ichague kati ya kulipia madeni na mshahara, watalipa madeni kwanza; ndio kilichotokea kwa jirani. Na serikali zinakusanya mapato kama kampuni zozote unazozijua, kwahiyo kukosa fedha sio jambo la kawaida lakini huwa linatokea.
Mimi huwa nashindwa kuelewa baadhi ya ueleo wa wanajamii forum wengine, inaonekana humu kuna watu hata darasa la nne hawakufika na ndiyo huchukuliwa ujinga wao kama mtaji wa CCMKenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sana
USSR
Mishahara kwa watumish wa umma inatokana na kodi! Sasa kama makusanyo ni kiduchu ndo watumish watajua no body can stop reageHabari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.
Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,
napitia comment
Mimi huwa nashindwa kuelewa baadhi ya ueleo wa wanajamii forum wengine, inaonekana humu kuna watu hata darasa la nne hawakufika na ndiyo huchukuliwa ujinga wao kama mtaji wa CCM
Hivi kwa akili yako ya kawaida kuna selikali yenye matumizi makubwa ya utitiri wa viongozi kama Tanzania, mfano kuna haja gani ya kuwa na wabunge wa kuteuliwa, wakuu wa wilaya?
Bado magari wanayotembelea viongozi yanalingana na akili yako wewe mbubumbu,
Naamini hizi pesa zinazopotea wangepeleke kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi labda ungeilimika kwa vitendo zaidi ingawa siyo kiakilili
Labda WANASIASA walikwangua hazina ya nchi kwa sababu ya Fedha ya uchaguzi nje ya mfumo rasmi....labda labda.....Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.
Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,
napitia comment