Inakuwaje serikali inakosa mishahara ya wafanyakazi wake mfano Kenya?

Inakuwaje serikali inakosa mishahara ya wafanyakazi wake mfano Kenya?

Kenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sana

USSR
Chadomo wasipewe nchi....sera yao ya majimbo ni ya HOVYO kupitiliza....haifai haifai haifai hapa Tanzania.....

#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT[emoji120]
 
Niliwashangaa Wakenya walipomchagua Ruto kwa mihemko. Anyway inawezekana si yeye aliyesababisha hii hali, ila jamaa ni failure vibaya na huko mbeleni itabidi kuwa dhahiri.
Unaetaka kumtuhumu alikuta mishahara inaliowa mpaka tarehe "35" ilifika kipindi kipindi mpaka tukope ndipo mishahara ilipwe, ila yeye akaja akaweka tarehe 24 watumishi wapate chao! Huko mbele sijui labda uanze kuwa tambitambi
 
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment
Watu wengi wanafikiria kuongoza nchi ni jambo rahisi sana, kwamba mahela yapo tu. Ndio wanavyoona Chadema. Wanapiga kelele sijui barabara ya kwenda wapi, maji, sijui miradi ya SGR ......kalia kile kiti uone bill ya Kila mwezi ya kuendesha nchi, ambayo ni lazima uilipe, sio hiyari. Bill ya miradi inaweza kuwa hiyari. Lakini mshahara wa watumishi sio hiyari ya mwajiri. Pia ukishindwa kuilipa, heshima ya serikali inashuka ndani na nje ya nchi
 
Niliwashangaa Wakenya walipomchagua Ruto kwa mihemko. Anyway inawezekana si yeye aliyesababisha hii hali, ila jamaa ni failure vibaya na huko mbeleni itabidi kuwa dhahiri.
Kabisa, na wanatumia muda mwingi kupigizana kelele na Raila, bado miezi michache watimize mwaka madarakani.
Na pia ana mzigo wa watu wa kulipa fadhila, anateua Kila siku.

Makamu Rais wake ndio hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom