Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Chadomo wasipewe nchi....sera yao ya majimbo ni ya HOVYO kupitiliza....haifai haifai haifai hapa Tanzania.....Kenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sana
USSR
Unaetaka kumtuhumu alikuta mishahara inaliowa mpaka tarehe "35" ilifika kipindi kipindi mpaka tukope ndipo mishahara ilipwe, ila yeye akaja akaweka tarehe 24 watumishi wapate chao! Huko mbele sijui labda uanze kuwa tambitambiNiliwashangaa Wakenya walipomchagua Ruto kwa mihemko. Anyway inawezekana si yeye aliyesababisha hii hali, ila jamaa ni failure vibaya na huko mbeleni itabidi kuwa dhahiri.
Watu wengi wanafikiria kuongoza nchi ni jambo rahisi sana, kwamba mahela yapo tu. Ndio wanavyoona Chadema. Wanapiga kelele sijui barabara ya kwenda wapi, maji, sijui miradi ya SGR ......kalia kile kiti uone bill ya Kila mwezi ya kuendesha nchi, ambayo ni lazima uilipe, sio hiyari. Bill ya miradi inaweza kuwa hiyari. Lakini mshahara wa watumishi sio hiyari ya mwajiri. Pia ukishindwa kuilipa, heshima ya serikali inashuka ndani na nje ya nchiHabari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.
Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,
napitia comment
Kabisa, na wanatumia muda mwingi kupigizana kelele na Raila, bado miezi michache watimize mwaka madarakani.Niliwashangaa Wakenya walipomchagua Ruto kwa mihemko. Anyway inawezekana si yeye aliyesababisha hii hali, ila jamaa ni failure vibaya na huko mbeleni itabidi kuwa dhahiri.