Inakuwaje Uingereza (EPL) hakuna hata referees mmoja walioteuliwa na FIFA kuchezesha kombe la dunia?

Hv unadhan sumu ya urusi imeisha eeee
Unadhan siasa za bongo mpka kwenye michezo hata huko ni hvyo hvyo
Ile issue wa Yule jesus wa urusi aliyemwagiwa tindikali bado inatafuna japo c bayan
 
Vipi CAF imepeleka wangapi?

katika hao kuna Mtanzania?
 
Hii issue mzee wenger aliwahi kuiongelea , akiwapondea marefa wa EPL kuua quality yao ni ndogo ndo maana FIFA haitawachagua. Naona yametimia.
Haihusiani na ishu ya Wenger na waamuzi bali masuala ya kisiasa zaidi hasa contradition btn UK and Russia particulally kifo cha Jasusi wa Russia kuuawa na UK
 
Marefa wa uingereza hawafai hata kuchezesha ndondo cup
 
Mareferee wa epl ni upuuzi mtupu..refer ile gemu ya liverpool vs totthenham
 
Jiongeze mkuu hv Sasa uhusiano wa Urus na uingereza Ni mbaya Sana
 
EPL na La Liga wana marefa wabovu sana
 
Haihusiani na ishu ya Wenger na waamuzi bali masuala ya kisiasa zaidi hasa contradition btn UK and Russia particulally kifo cha Jasusi wa Russia kuuawa na UK

Aisee watu humu ni vichwa ngumu balaa. Mara mbili nimeweka link inayoelezea kwanini UK haina uwakilishi katika marefa katika 2018 WC. Lakini bado watu wanakuja na maelezo ya uongo tu.

Sababu ni kwamba refa pekee wa UK aliyekuwa kwenye pool ya marefa wenye uwezekano wa kwenda Russia, alistaafu urefa. FA waliomba wam-replace na refa mwingine, FIFA ikakataa. Hivyo kwenye pool kukawa hakuna refa kutoka UK. Hii ndiyo sababu.
 
Watz wanapenda conspiracy theory kuliko facts hata uelimishe vp wala usishangae
 
Watz wanapenda conspiracy theory kuliko facts hata uelimishe vp wala usishangae
Yaani, taifa hili linahitaji kweli MABADILIKO, haswa kwenye mfumo wetu wa elimu. Watu wanaongea as if Russia ndiye anayechagua marefa!! Na kama alivyosema mdau mmoja hapa, katika suala ambalo FIFA siku zote hawawezi kujiingiza, ni suala la siasa za nchi wanachama.
 
Jiongeze mkuu hv Sasa uhusiano wa Urus na uingereza Ni mbaya Sana
FIFA haitambui siasa hizo. Marefa wa EPL wana maamuzi tatanishi.Mifano ipo.
Angalia mechi ya Leo (30/03"2018) Liverpool vs Crystal palace. Penati ya CP. ya kipa haikupaswa kuwa penati. It was duo collition hatari sana.
Kosa la mane kushika mpira makusudi alistahili second yellow then red.
Controversial decision.
 
N kwel marefa wa England n hovyo lkn pia waliangalia Hali ya Siasa. Siasa haikwepek kwenye soccer
 
Acheni Uongo Uengereza imetoa Refa ambaye Ni Mark Clattenburg Kwenda Kuchezesha World Cup na FIFA imemchagua lakini Kaamua Kuachana na Urefa na Kukimbilia Saudi Arabia Kwenda Kufanya Kazi Na Chama Cha Soka cha Saudi Arabia.
Kwahiyo Kwasasahivi FIFA hairuhusu Kusajili Refa Mwengine Ndiyomana Uengereza Haina Refa Huko Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…