BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Wengi walipata adhabu kutokana na maamuzi yasiyotukuka hivyo FIFA wameamua kucheza nao mbali wote.
Wakuu FIFA wametoa orodha ya waamuzi watakaochezesha kombe la dunia, cha ajabu ligi kubwa na pendwa kama Epl hakuna hata mmoja.
Hii ina maana gani? Ni kwamba FIFA wameona hamna anayefaa hata mmoja kwamba hawaaminiki au ni nini?