Inakuwaje Uingereza (EPL) hakuna hata referees mmoja walioteuliwa na FIFA kuchezesha kombe la dunia?

Wakuu FIFA wametoa orodha ya waamuzi watakaochezesha kombe la dunia, cha ajabu ligi kubwa na pendwa kama Epl hakuna hata mmoja.

Hii ina maana gani? Ni kwamba FIFA wameona hamna anayefaa hata mmoja kwamba hawaaminiki au ni nini?
Ubora wa ligi haumaanish ubora wa waamuzi.... sawa hakun waamuz vilaza dunian kama England bora Burundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…