Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Love is fo everyoneHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Ukioa yule mwanamke anaitwa mke mumo kwa pale.Na huyo mwingine wa barabarani ataitwa demu.Umeona tofauti?Sijui tunaelewana?Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Sijaelewa kabisaUkioa yule mwanamke anaitwa mke mumo kwa pale.Na huyo mwingine wa barabarani ataitwa demu.Umeona tofauti?Sijui tunaelewana?
Ulioa ili iweje zaa nakila mtu na umpe upendo kila mtuLove is fo everyone
Mkuu moyo wa mwanaume kwenye upendo haujafungwa kwa mwanamke mmoja ,ni kuulize swali kwa nini Mungu alweka mamilioni ya sperms kwa mwanaume ? Ivi unafikiri uwo uwingi wa sperms ni kwa ajili ya mwanamke mmoja tu?Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Leo ni leo. Utaelewa tu. Mwanaume kusema neno nakupenda usilichukulie siriaz. Sisi huwa tunatamka tu neno linalokuja mdomoni. Mke ndiyo kila kitu.Tuliza moyo!Sijaelewa kabisa
🤌🏾🤌🏾🤌🏾Kwa iyo wewe unafikiri unapoambiwaga "i love you" ni kweli? Hizo ni saundi tuu za wakulungwa ili utoe mbususu.
Sijawahi ambiwa mie na mtu amabye ameoa hivyoo Kwa manaa Sijawahi kuwaga nao kimahusiano ni mmoja tuKwa iyo wewe unafikiri unapoambiwaga "i love you" ni kweli? Hizo ni saundi tuu za wakulungwa ili utoe mbususu.
Umeona hiyo video??Leo ni leo.Utaelewa tu.Mwanaume kusema neno nakupenda usilichukulie siriaz.Sisi huwa tunatamka tu neno linalokuja mdomoni.Mke ndiyo kila kitu.Tuliza moyo!
Mbwa ni nani?kukupenda mbwa wewe
Binafsi nkiona mwanaume anachepuka halaf anasema anamweshimu mke wake huwa nadhindwa kuelewa ni heshima gan inaxungumziwa hapo, au kwasababu mke hajaona ndo kusema unamheshimu? Yaan ukishaenda kuchepuka tyari ushamvunjia heshima mwenza wako hata kama hajaona wala kujuautelezi haunaga mwisho,
kwanini usimuliwe?,
kaa kwa kutulia cha muhimu nikuheshimu
pole aiseeHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga??😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani??
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu . HutuliiTulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini ?? Semeni
Kama swali lipi kwa mfano?Kuna maswali mengine hayatakaa yapate majibu kamwe
Tunatofautiana mtazamo, we unadhani wanawake hawajui kama wanaume zao wanachepuka?Binafsi nkiona mwanaume anachepuka halaf anasema anamweshimu mke wake huwa nadhindwa kuelewa ni heshima gan inaxungumziwa hapo, au kwasababu mke hajaona ndo kusema unamheshimu? Yaan ukishaenda kuchepuka tyari ushamvunjia heshima mwenza wako hata kama hajaona wala kujua