Inakuwaje umeoa halafu unamwambia mwanamke mwingine "I love you?"

Inakuwaje umeoa halafu unamwambia mwanamke mwingine "I love you?"

Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]

Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii



Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.

Hivi mnakosaga Nini? Semeni?


Unasambaza upendo tu, Amri kuu ni Upendo
 
Wengine wanakuwaga wanajifunza English course 😂😂😂hwamaanishi my wangu
Ila umepotea
 
Kwa kifupi ukila chakula ukashiba haimaanishi NDIO umeshiba milele
Utakula tena baadae.......
Pia vyakula vipo vya Kila aina na mapishi mbali mbali.....
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
 
Kwa kifupi ukila chakula ukashiba haimaanishi NDIO umeshiba milele
Utakula tena baadae.......
Pia vyakula vipo vya Kila aina na mapishi mbali mbali.....
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
Umeongea kiutuuzima sana😂😂😂
 
Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆

Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii

View attachment 2509400

Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.

Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Wanaendeshwa akili za chini wanaume.
 
Kufanya hivyo ni kama tu hatutaki kuwashusha thamani zenu,,tunahitaji mjione kuwa mnapendwa ili muwe mnaviachia tu.
 
Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]

Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii

View attachment 2509400

Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.

Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Mbona makasiriko mkuu??
 
Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]

Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii

View attachment 2509400

Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.

Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Iko hivi wanaume huwa mnatuvuruga sana kwenye ndoa
 
Zamani nilikuaga nashangaa watu wenye hizo tabia, ila saivi mimi ndio muhusika mkuu
 
Kwani ukiambiwa I LOVE YOU kuna shida gani? Kwa LOVE limit yake ni mmoja tu?
Upendo wa agape.
 
Back
Top Bottom