Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #61
Acha tu ila upendo ulimkabidhi mmoja tuKwani ukiambiwa I LOVE YOU kuna shida gani? Kwa LOVE limit yake ni mmoja tu?
Upendo wa agape.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu ila upendo ulimkabidhi mmoja tuKwani ukiambiwa I LOVE YOU kuna shida gani? Kwa LOVE limit yake ni mmoja tu?
Upendo wa agape.
Unajua maana ya kuitunza familia au unadhani niwewe tuMkiolewa mnajisahau sana shida inaanzia hapo.
Yesu mwenyewe hawezi kumkabidhi mmoja.Acha tu ila upendo ulimkabidhi mmoja tu
Yesu hajaoa mtu tofautisha Hilo na masuala ya Yesu achana nayoYesu mwenyewe hawezi kumkabidhi mmoja.
Mie hapanaMbona makasiriko mkuu??
na inakuwaje unakula mgahawani wakati kwako umeacha kodi ya mezaHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
View attachment 2509400
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Etna inakuwaje unakula mgahawani wakati kwako umeacha kodi ya meza