Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Kuhusu Cha dini sipendi kwakweli kama huwezi toa neno basiNi Ile aliyosema Yesu na si vingenevyo.
Sio Kwa michepuko nikwa jirani yakoUnasambaza upendo tu, Amri kuu ni Upendo
Umeongea kiutuuzima sana😂😂😂Kwa kifupi ukila chakula ukashiba haimaanishi NDIO umeshiba milele
Utakula tena baadae.......
Pia vyakula vipo vya Kila aina na mapishi mbali mbali.....
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
Wanaendeshwa akili za chini wanaume.Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?😆
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
View attachment 2509400
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Mbona makasiriko mkuu??Haya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
View attachment 2509400
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Iko hivi wanaume huwa mnatuvuruga sana kwenye ndoaHaya umeoa halafu mchepuko wako unamwambia I LOVE U hivi mnamaanishaga?[emoji38]
Au mnamsemaga ili mpewe mzigoo , jingine hamuogopi kuleta magonjwa nyumbani?
Unajisikiaje unamke mrembo , anakuheshimu, kukupenda mbwa wewe halafu kutwa gesti na wasichana za watu. Hutulii
View attachment 2509400
Tulia maisha haya ni yakuwa na maamuzi yenye busara.
Hivi mnakosaga Nini? Semeni?
Sasa mie sio mwanaumeIko hivi wanaume huwa mnatuvuruga sana kwenye ndoa