Inamaanisha nini?

Inamaanisha nini?

Unless kama nimeshakugaia!!

Hehehehe hata kumendea tu huoni Mr. wa Nyamayao alivyo taka kumfumua mtu ndani ya supermarket.

Ingekuwa enzi za UKIMWI free Fidel kaka yangu wala usingesikia hivi vilio vya mara kwa mara.

Unakumbuka kanisani ulikula kiapo kuwa mtakuwa pamoja na kushikamana kama kumbikumbi kwa shida na raha hili la ukimwi ni moja ya ajali katika maisha si kanakwamba Mr. ndo alitaka kuupata huo ukimwi katika pita pita zake akapata ajali kwa hiyo lazima uendelee kumpenda tu lasivyo utakuwa unamkiuka Mungu na maandiko yake.
lijirudi wakati limeshakupa ukimwi?????
aaaah men are just men bana!!!

Sasa utamtosa? Mnatupenda tukiwa wazima sio???
Na wewe unaelekea huko huko kwenye ndoa haya utakuja kuyasikia pindi utakapo chuja.
 
Hehehehe hata kumendea tu huoni Mr. wa Nyamayao alivyo taka kumfumua mtu ndani ya supermarket.



Unakumbuka kanisani ulikula kiapo kuwa mtakuwa pamoja na kushikamana kama kumbikumbi kwa shida na raha hili la ukimwi ni moja ya ajali katika maisha si kanakwamba Mr. ndo alitaka kuupata huo ukimwi katika pita pita zake akapata ajali kwa hiyo lazima uendelee kumpenda tu lasivyo utakuwa unamkiuka Mungu na maandiko yake.


Sasa utamtosa? Mnatupenda tukiwa wazima sio???
Na wewe unaelekea huko huko kwenye ndoa haya utakuja kuyasikia pindi utakapo chuja.

Fidel ingekuwa hivyo kusingekuwa na kile kiapo kisemacho...Utampenda na kushikamana na huyu peke yake na kuachana na wengine.... na nafikiri kama wanandoa ni wajibu wetu kulindana pale inapobidi. Sidhani kama wanawake wangekuwa wanafanya hivyo ungewezasema hayo mpenzi wangu!
 
lijirudi wakati limeshakupa ukimwi?????

aaaah men are just men bana!!! Wameumbwa watutawale. Wanawake tunalazimika kukubali hili!!!

Thats My Mamushka! Umekula Senksi fo zis yuziful posti!
 
Ukisikia watu wanaangamia kwa kuendekeza usamaria wema ndio kama ivi.
Hebu uliza akina kaka/baba walio hapa, endapo mwanamke umekimbia na mwanaume mwingine hata for 1 year, ukarudi kama huyo mwanaume angekupokea let alone kulala kitanda kimoja tena...hatujaongelea ku do!
Na hata kama huyo mwanaume angekupokea halafu umuambukize nadhani famili tribunal ingekupitishia hukumu ambayo utakufa kabla hata ya kutumikia adhabu!
Its hard to be a woman jamani!

You can say that AGAIN sisy
 
Thats My Mamushka! Umekula Senksi fo zis yuziful posti!

biggy ume-edit lakini jamani
anyway mi siumizwi kichwa na nyie viumbe kwa kweli
maisha tambarareeeee
 
biggy ume-edit lakini jamani
anyway mi siumizwi kichwa na nyie viumbe kwa kweli
maisha tambarareeeee

Hahaha! Chief Editor on duty!! Na kichwa kikikuuma tunakupa panadol sisi wenyewe!
 
biggy ume-edit lakini jamani
anyway mi siumizwi kichwa na nyie viumbe kwa kweli
maisha tambarareeeee

bht you are very lucky mamii kuna wengine wamebahatika kuwa na wale ambao zipu zao 24/7 ziko wazi yaani unakuta mmama analazimika kumkodia Security Guard utafikiri dereva wa gari la mishahara - sasa mtu wa hivi umwambie eti asimmind mumewe hatakuelewa especially akikumbuka kuna UKIMWI na yeye familia bado changa!!

Kasema ukweli WoS- Kuwa mwanamke kazi!
 
Hahaha! Chief Editor on duty!! Na kichwa kikikuuma tunakupa panadol sisi wenyewe!

sikuhizi baada ya kuvua mapendo ya longolongo hata kichwa hakiumi biggy....
can u even recall the last time I asked you to buy me a panadol???? ...NO!!!

dawa ku-ignore tu!!!
 
Aksante Ama nitafanya kama ulivyonishauri. Hivi inawezekana jamaa (shem) anamega ?? Maana mbona kareact kihivyo??

OH maimai hapo reaction inaonesha wazi kua kidume ashadandia. kitendo cha kuulizwa akajua mkewe ashang'amua.ili kujilinda akawa mkali.bi dada ana bahati hakutandikwa makofi manake wanaume dizain hiyo hachelewi kurusha ngumi ili aonekane hana hatia.

pole mdada kacheki afya yako then utafte namna ya kujipanga poa
 
Dada yeye mwenyewe anasema jana jioni ofcn kwake secretary wao alikuwa anasimulia habari ya dada mmoja ambaye anafanya kazi ofc flani (ambako mumewe naye anafanya) vituko vya huyo dada ni vikubwa si ndio akaona amwulize mumewe kama anamfahamu huyo mdada akiwa anataka kujua kama kweli ofc hiyo kuna mtu wa jina hilo. Hayo majibu alopata kabadki kaduwaa.

Mwambie huyo rafiki yako huo ni umbea, na wanaume hawapendi umbea, ndio maana jamaa akawa mkali! 🙂

Halafu maswali mengine ya kizushi kweli, kashamuharibia siku mumewe hapo! Halafu anakimbilia kulia! 🙂 Imeandikwa: '' Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe!''.
 
OH maimai hapo reaction inaonesha wazi kua kidume ashadandia. kitendo cha kuulizwa akajua mkewe ashang'amua.ili kujilinda akawa mkali.bi dada ana bahati hakutandikwa makofi manake wanaume dizain hiyo hachelewi kurusha ngumi ili aonekane hana hatia.

pole mdada kacheki afya yako then utafte namna ya kujipanga poa
Aksante Kisasangwe

Nimeipenda signature yako.
 
Halafu maswali mengine ya kizushi kweli, kashamuharibia siku mumewe hapo! Halafu anakimbilia kulia! 🙂 Imeandikwa: '' Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe!''.

Hahahaha dah mkuu hii ndo quote yangu ya leo dah imekaa vizuri sana. Na umenena ukweli mtupu.
 
Mwambie huyo rafiki yako huo ni umbea, na wanaume hawapendi umbea, ndio maana jamaa akawa mkali! 🙂

Halafu maswali mengine ya kizushi kweli, kashamuharibia siku mumewe hapo! Halafu anakimbilia kulia! 🙂 Imeandikwa: '' Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe!''.

Nina amini kabisa hii umeiandika kwa sababu tu umejisikia kuandika masaki!!
AAlijuaje pengine alitaka kuujua kama yupo kwa masuala ya kiofisi!! Mume alitakiwa kwanza ajibu ndio au hapana then reaction itakayofuata hapo asingelaumiwa!!
 
Hahahahahahaha Nyamayao ukijifanya mjinga utaweza kuishi vizuri tu kwa amani na upendo baadae hilo limwanaume litajirudi na kutafakari lakini ukiamua kushindana nae hapo ndo inakuwa balaa amani nyumbani inapotea wewe jifanye mjinga tu ipo siku. Inafika kipindi mwanaume anaingia na uhuruma na unahurumiwa na anajirekebisha.


kwanini nijifanye mjinga? cwezi.
 
Nina amini kabisa hii umeiandika kwa sababu tu umejisikia kuandika masaki!!
AAlijuaje pengine alitaka kuujua kama yupo kwa masuala ya kiofisi!! Mume alitakiwa kwanza ajibu ndio au hapana then reaction itakayofuata hapo asingelaumiwa!!

Huwezi kujua, usikute hata huko ofisini kashazushiwa kwamba anammega huyo dada, na ni kitu kinachomkera sana. Sasa akahisi kwamba huo umbea umeshamfikia mpaka mkewe na mkewe kakurupuka kuudakia!

Halafu maswali gani hayo ya kuulizana asubuhi asubuhi? Kwanini asingetafuta muda muafaka?
 
sikuhizi baada ya kuvua mapendo ya longolongo hata kichwa hakiumi biggy....
can u even recall the last time I asked you to buy me a panadol???? ...NO!!!

dawa ku-ignore tu!!!

Hata sikumbuki nilinunua bei gani mara ya mwisho!
Dawa yako nilishaijulia.
 
Back
Top Bottom