Inaniuma!

labda unywe maziwa jirani?

Kwani mtaani wapya wanafundishwa kila kitu na wakongwe?

LOL! Maziwa tena!? Nyie watu mbona mnamasihara namna hiyo?

Watu tumetofautiana uelewa. Wengine ni hadi tufundishwe, wengine hawahitaji kufundishwa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hayatuhusu. Pelekea umbeya wako kwenye majukwaa mengine. siyo humu ndani. Kama huna cha kuandika, tulia kimya, nyamaza kabisa kabisa. Soma michango ya watu wengine. Unajiabisha tu hapa ndani.

Hahahahahah! Natamani Sumu aje asome hii makitu na blackberry yake
 
Last edited by a moderator:
Hayatuhusu. Pelekea umbeya wako kwenye majukwaa mengine. siyo humu ndani. Kama huna cha kuandika, tulia kimya, nyamaza kabisa kabisa. Soma michango ya watu wengine. Unajiabisha tu hapa ndani.

We Mkali Mbona Haubadiriki?
Sasa Leo Nakuchana Live
Post Zako Zote Hazina Mashiko
Umaarufu Hautafutwi Kwa Styl Hizo Banah!
Narudia Tena...Unaboaaaaa.........!
Nakutupia Hiyo.
 
Akili kama hizi ni za hovyo kuliko uhovyo wenyewe.Mtu anakosa ustaarabu na anadharau hisia zako kwa kiasi hiki?
"
Watu wengine wakipata mtu wa kuwajali wanakua kama wajinga.Huyu jamaa sijui alikua anataka nini.
"
Usimkaribie wala kuthubutu kurudiana nae,dada usihofu wanaume wanaokufaa ni wengi na utapata mtu alie sahihi kwako.
"
Shame on him!
 
Hahahahahah! Natamani Sumu aje asome hii makitu na blackberry yake

Haaahaaaaahaaaaa! Haya bana. Mmeshinda nyie. Nyie si mnalindana? Poa tu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
We Mkali Mbona Haubadiriki?
Sasa Leo Nakuchana Live
Post Zako Zote Hazina Mashiko
Umaarufu Hautafutwi Kwa Styl Hizo Banah!
Narudia Tena...Unaboaaaaa.........!

Sasa wewe umeona ameandika kitu gani cha maana pale. Haya mambo ya kutosana katika maisha mbona ni ya kawaida sana!!! Ngoja nikupe TRUE STORY. Mama yake na babu yangu aliolewa na wanaume wanne. Wanaume watatu walimtosa. Na ujue babu yangu alizaliwa mwaka 1905. Sasa mama yake alizaliwa lini? Chukulia 1890. Kwa kifupi, hata miaka ya 1800 watu walikuwa wanatosana sembuse leo hii, karne ya 21!!
 
Dawa ya moto ni moto. Kama unampenda na anakutafuta mkubalie ubinjuke kwa raha zako. Hakikisha mpaka mkewe anajua ili ampige chini. Akishapigwa chini na mkewe nawe unampiga chini.

Nlishamfanyiaga shori mmoja enzi hizo aliponifanyia unaa kama huu.

Duu ushauri mwingine changanya zako na za mbayuwayu lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
achana naye ki.t.o.mbi tu huyo...hata aloolewa asidhani kapata, bali kapatikana!!!
Pole sana. Usizijibu emails zake wala usipokee simu yake. Songa mbele, utapona tu muda ukienda.
 

Haiwezekani Post Inayoeleweka kwako wewe Unacomenti Vumbi Tu!
Ubadirike ma niga!
Nakutupia hiyo.
 
Aisee! Inauma sana kwa kweli! Pole dada yetu,ndo changamoto ktk mapenzi! Lakini uckate tamaa! MUOMBE MUNGU AKUSIMAMIE ktk khali hii,hatmaye utazoea mwali!!
 
Pole mwaya...

But itseems like ulikuwa umemzidi ktk mambo fulani either kipato, elimu au umri... Kulingana na ulivyoeleza labda alikuogopa lol.

La muhimu tafuta mbinu zitakazo kata mawasiliano naye kabisa ili asiendelee kukuumiza. Move forward na maisha utampata wako.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani napenda Lara1 kubwa la maadui aje hapo atoe comments zake hapa maana anajua namna ya kuwasaidia watu kama hawa wanaoumizwa mioyo. Lara1 wherever you are please come and help maujuzi ya kumsaidia huyu bi dada alieumizwa na jamaa
 
Haiwezekani Post Inayoeleweka kwako wewe Unacomenti Vumbi Tu!
Ubadirike ma niga!

Kaka, nilichoandika pale ni kuwa hatupendi kuona hizi private issues zinajaa kwenye jukwaa letu. Lazima tuzikemee kwa nguvu zote. Haya mambo ya kutosana hayajaanza leo. Yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo. Hata mimi nilishatosa kama watatu hivi--wengine waliniboa sana mpaka leo hii ninapoandika hapa. Mbona sijaleta mada kama hiyo hapa ndani?

 

Bwana mdogo kazi na dawa. Hivi unafikiri watu wote msibani wakilia itakuwaje?
 
Pole sana jamani,am sure u will recover to soon....Yote ni mipango ya mungu,huenda kuna kitu umeepushia,believe that.
 
Hypotheis yangu ni hii:jamaa anampenda sana huyo aliyemuoa. Wewe ulikuwa ni puching bag baada ya yeye kuumizwa na huyo aliyeolewa. Hakupendi,alikiwa anajisahaulisha matatizo yake tu hapo kwako.
On the other hand,aliyeolewa ni opportunist. Anaangalia maslahi zaidi. Kwahiyo basi, jamaa(au ****??) baada ya kuona mambo yamekaa kwenye mstari kiaina(kwa juhudi zako wewe uliyeachwa solemba) akarudi tena kwa kipenzi chake(japo yeye hapendwi kwa dhati huko). Amekubalika: mkono wake si mtupu tena,kipo cha kulambwa!Usishangae alitaka kurudi tena kwako,for obvious reasons.

Kifupi mama;umetumiwa. Pengine mapenzi yako yalikutia upofu. Hili ndio somo sasa. Kuingia jumla si mambo pia.
Sasa basi,mawili:
1.Mwombee njaa jamaa ili arudi kulekule ulikomkuta.Hii ni pamoja na kulipiza kisasi kama walivyoshauri wadau wengine(kwa namna mbalimbali).
2. Chapa mwendo. Usijibu chochote: sio email,simu,sms...tulia kwanza.You are likely to behave in the same way he did if you allow yourself to 'fall' into some one else in the near future.

Pole sana. Shit happens. Jitahidi kadiri uwezavyo(inawezekana,unaweza kumsahau.MSAHAU),kumsahau. Songa mbele,there is a heart to match yours somewhere......only time will tell.

La kwanza halina tija: hakupendi so there is no point kwa yeye kurudi tena kwako. You need and deserve true love smart lady.Its coming...
 
Hayatuhusu. Pelekea umbeya wako kwenye majukwaa mengine. siyo humu ndani. Kama huna cha kuandika, tulia kimya, nyamaza kabisa kabisa. Soma michango ya watu wengine. Unajiabisha tu hapa ndani.

Mwanamalundi kuna mtu alisema kuwa unahitaji msaaada kwa kuwa upo frustrated mimi nikafikiri eti ni uongo but now I can see it with my naked eyes unahitaji mtu wa kukusaidia maana unakoelekea sio kuzuri jaribu kujituliza na kuona tu kila kitu kuwa ni mapito maana kama ukidata na kila mtu haitakusaidia hata kidogo.Ama jipe rikizo kidogo usiiingie JF kwa muda ili upate uponyaji
 
Bwana mdogo kazi na dawa. Hivi unafikiri watu wote msibani wakilia itakuwaje?

Daaaaaah! Naona ndo umeanza na mkwara kabisa wa kuniita "Bwana mdogo". Tatizo baba alichelewa kuninunulia PC ndo maana nilichelewa kujiunga JF. Sawa bwana mkubwa, nimekuelewa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sasa wewe unataka wawe wanaleta maada za namna gani, huwezijua kama mtu anapopata ushauri na mawazo ya aina mbali mbali anaponyeka?
 
Hawezi kucheza na moyo wako namna hiyo na aondoke hivi hivi. Tengeneza mtego ambao mkewe atakunasa nae hata gesti ili umharibie na yeye. Shenzi!! Lakini penzi no!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…