Daaaaaah! Naona ndo umeanza na mkwara kabisa wa kuniita "Bwana mdogo". Tatizo baba alichelewa kuninunulia PC ndo maana nilichelewa kujiunga JF. Sawa bwana mkubwa, nimekuelewa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sorry mkuu, ila sehemu yoyote ile ladha tofauti muhimu sana.
kama wewe ni fulani, nakumbuka ulivyoumia hadi kwenda Ghana kuombewa, pole sana kama ni wewe.
Ila usiwe 'desparate' na ndoa, watakugonga tu.
Pole
mwanawane unajueje kama mkewe akijua atampiga chini mumewe? we unamtafutia mabalaaa mtoto wa watu apigwe nakozi na mwanamke mwenzake.....by the way wakipigana naomba mnishitue napenda kichizi ngumi za mashostiDawa ya moto ni moto. Kama unampenda na anakutafuta mkubalie ubinjuke kwa raha zako. Hakikisha mpaka mkewe anajua ili ampige chini. Akishapigwa chini na mkewe nawe unampiga chini.
Nlishamfanyiaga shori mmoja enzi hizo aliponifanyia unaa kama huu.
achana naye ki.t.o.mbi tu huyo...hata aloolewa asidhani kapata, bali kapatikana!!!
mwanawane unajueje kama mkewe akijua atampiga chini mumewe? we unamtafutia mabalaaa mtoto wa watu apigwe nakozi na mwanamke mwenzake.....by the way wakipigana naomba mnishitue napenda kichizi ngumi za mashosti