Nebby
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 222
- 46
pole sana mi nadhani ujitahidi kusahau yaliopita na ujipiganie maisha yako hayo mengine yatakuja tu.
Pia unapokuwa na urafiki na mtu yeyote usipende kulazimisha kuolewa kwani mwishowe utabaki kuumia tu, kwani wanaume wengi watajileta kwako watakugegeda mwishowe wanasepa
Pia unapokuwa na urafiki na mtu yeyote usipende kulazimisha kuolewa kwani mwishowe utabaki kuumia tu, kwani wanaume wengi watajileta kwako watakugegeda mwishowe wanasepa