Inaniuma!

Cha ajabu na cha kushangaza ni kwamba ameoa lakini kila siku ananipigia simu na kunitumia e mail.Kwa kweli inanikera sana.Nimebadilisha line lakini wapi.Sijui aliipata wapi line yangu mpya.Nimfanyaje?

Wewe ni mwanamke wa outing tu.
Huna hadhi ya kuwa MKE.
Kaa;
Tafakari;
Chukua hatua sahihhi.

Bazazi!
 

"Hatupendi kuona.." Wewe na nani?!? Kama 'unabanwa' na hizi post toka 'pata hewa' kwa kuanzisha forum yako au kutozifungua topics kama hizi kuliko kitoa comments kama shuzi!! Tangu lini mapenzi na mahusiano yakawa na 'public' issues?!
 
Shost angenilipa vyote na ningemnyanganya nahakikisha hata kaa aipate amani ya moyo.ningemwambia hivi,i wont rest untill i bring u down.
 
Na wanawake tujifunze utawekezaje kwa mwanaume ambaye sio mumeo?mwanaume huyu ni sana na watu wengine unaokutana nao huko njiana hakujui humjui ,nawaonya katika mahusiano ya kawaida usitumie hata sent yako achiliambali akili yangu.nitazitumia kwaajili yangu au tutakapooana lol.kuna ---- mmja nilikuwa naumwa enzi hizo za chuo nikamwomba anitolee hela kidigo kwa ATM akaniibia nilimfunga jela aliponilipa maisha yakaendelea never invest usitake kufa presha we tumia zake tu kha
 
Dawa ya moto ni moto. Kama unampenda na anakutafuta mkubalie ubinjuke kwa raha zako. Hakikisha mpaka mkewe anajua ili ampige chini. Akishapigwa chini na mkewe nawe unampiga chini.

Nlishamfanyiaga shori mmoja enzi hizo aliponifanyia unaa kama huu.

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! umenifurahisha sana Babu yake mtu, Duh! kwa hiyo wewe ulikuwa unambenjua mpaka kusiko stail wewe unakula tu ili mradi umkomoe tu, hii formula yako nimeipenda sema sasa hujaweka viwango , tunaitumiaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…