Inaogopesha sana

Inaogopesha sana

Ndio mkuu.
Japo sijajua kama yule binti walimpata au la!
 
Haaa Clip haitishi hata kidogo yaani ni kama zile za Wrong Turn tu,yaaani kama umeweza kuangalia predator basi hii clip hamna kitu cha kutisha.
 
kaulize ulipoitoa hiyo clip huku sidhani kama utapata jibu
Wiki kama mbili hivi kuliripotiwa shambulio hili likihusisha mabinti wawili, kwa maana ya mtekeleza shambulio alikua binti na alifanya hivi kwa sababu ya wivu wa mapenzi
Nafikiri umejua uelewa wako ulivyo na wachangiaji wengine., Kama hujui kitu kaa kimya. Jamii forum sio mtaa..
 
ONYO: FUNGUENI MUACHE KULA NYAMA MWEZI MZIMA SHAURI YENU[emoji3]
 
Ethics za kazi ziko wapi siku hizi huyu alievunjisha hii clip yamfaa kurudi darasani upya......

Shenzy type .....

Pole yake huyo aliekatwa shingo na amshukuru Mungu sana hiyo cut haikugusa cervical bones maana tungekuwa tunaongea mengine hapa .....
 
Ethics za kazi ziko wapi siku hizi huyu alievunjisha hii clip yamfaa kurudi darasani upya......

Shenzy type .....

Pole yake huyo aliekatwa shingo na amshukuru Mungu sana hiyo cut haikugusa cervical bones maana tungekuwa tunaongea mengine hapa .....
Smartpones zinazuzua watu
 
Smartpones zinazuzua watu
Naona wanacheka na kufurahi hawajui kuwa saliva ni moja wapo ya contaminants

Hata uvaaji wao sijaupenda kwa kweli naona principles of surgery hasahasa kwenye preparation of a patient na surgeon walitoka emoty kabisa kwanza na hayo makelele kwenye surgical room hazitakiwi kule tunatumia ishara so akili yapaswa kujiongeza aisee so kwa kuongea huko.....
 
Mdada kakatwa shingo kwa nyuma inaninginia, minyama njenjee[emoji3]
Ila ya kawaida sana haitishi

Iangalie tu peke yako tafadhali. Na sijui kwanini hata nimeusoma huu ' Uzi ' wa Kutishatisha huku nikijijua kabisa Mimi ni Mwoga / Kunguru.
 
Naona wanacheka na kufurahi hawajui kuwa saliva ni moja wapo ya contaminants

Hata uvaaji wao sijaupenda kwa kweli naona principles of surgery hasahasa kwenye preparation of a patient na surgeon walitoka emoty kabisa kwanza na hayo makelele kwenye surgical room hazitakiwi kule tunatumia ishara so akili yapaswa kujiongeza aisee so kwa kuongea huko.....
Hata mm imenishangaza sana. Kelele kibao utafikiri wanafurahia hiyo hali ya mgonjwa.
Kweli wametia najsi professions za wenyewe.
Hao wote wanafaa wapelekwe kariakoo shimoni wakapige umbea vzri. Shenz type
 
Hata mm imenishangaza sana. Kelele kibao utafikiri wanafurahia hiyo hali ya mgonjwa.
Kweli wametia najsi professions za wenyewe.
Hao wote wanafaa wapelekwe kariakoo shimoni wakapige umbea vzri. Shenz type
Ndio wanafunzi wa kidigitali hao usikute huyo aliekuwa ana record hiyo clips alikuwa either ni cleaness or assistant surgeon so ile cycle ya usafi hakuna tena hapo ......

Kwa kweli wamenisikitisha sana mkuu....
 
Back
Top Bottom