Inaogopesha sana

Inaogopesha sana

Ingekua ni mwanaume kamfanyia hivo comment zingekua nyingi za kulaani wanaume hapa. Ila sijaona mwanamke aliyekemea na kusema juu ya roho mbaya ya mtendaji
 
Ethics za kazi ziko wapi siku hizi huyu alievunjisha hii clip yamfaa kurudi darasani upya......

Shenzy type .....

Pole yake huyo aliekatwa shingo na amshukuru Mungu sana hiyo cut haikugusa cervical bones maana tungekuwa tunaongea mengine hapa .....
Umejuaje kama ajafa mbona anaonekama keshakufa sema kama wana mweka sawa Kwa kidogo Kwa ajili ya msiba
 
Naona wanacheka na kufurahi hawajui kuwa saliva ni moja wapo ya contaminants

Hata uvaaji wao sijaupenda kwa kweli naona principles of surgery hasahasa kwenye preparation of a patient na surgeon walitoka emoty kabisa kwanza na hayo makelele kwenye surgical room hazitakiwi kule tunatumia ishara so akili yapaswa kujiongeza aisee so kwa kuongea huko.....
Ndo maana nahisi huyo Dada keshakufa sidhani atakuwa mzima chumba cha upasuaji madaktari wanaziba hadi midomo
 
Mh mm bhana MTU akiniambia hii inanuka vibaya nusa uihisi mwenyewe huwa sinusi au MTU aseme hii chungu lamba uonje sionji koz sipend viatu vichungu au MTU aseme hii inatisha angalia siangalii napenda kuwa ha
 
Wiki kama mbili hivi kuliripotiwa shambulio hili likihusisha mabinti wawili, kwa maana ya mtekeleza shambulio alikua binti na alifanya hivi kwa sababu ya wivu wa mapenzi
Kwa maelezo yako tu haina haja tena ya Mimi lkuifungua maana nilishaifaham kupitia group la wasap.
Asante kwa taarifa.
 
Nafikiri umejua uelewa wako ulivyo na wachangiaji wengine., Kama hujui kitu kaa kimya. Jamii forum sio mtaa..
kwahiyo umeona raha kusambaza clip za kutishana au sio?
 
Ethics za kazi ziko wapi siku hizi huyu alievunjisha hii clip yamfaa kurudi darasani upya......

Shenzy type .....

Pole yake huyo aliekatwa shingo na amshukuru Mungu sana hiyo cut haikugusa cervical bones maana tungekuwa tunaongea mengine hapa .....
Alipona?
 
Sasa hii ndo yakutisha watu kweli..Yani shingo moja tu hii ,, watu tulichinja basi zimaa hizo shingo
 
aisee kwa wenye roho nyepesi wasiifungue.
Kuna mtu alikuwa ananirushia clips flani hivi za ISIS wakikata watu shingo kwa nyuma, uzalendo ulinishinda nikamwambia asiwe ananirushia tena.
 
Umejuaje kama ajafa mbona anaonekama keshakufa sema kama wana mweka sawa Kwa kidogo Kwa ajili ya msiba
Mkuu umeiangalia kiuoga sana bhana we unadai ameshakufa hujaona mkao aliokaa kuwa ni wa mtu aliye hao???Mtu aliyekufa hawezi kukaa alivyokaa huyo majeruhi maana kaegemeza kichwa chake juu ya mkono wake na anabalance nzuri tu wakati anahudumiwa.
 
Mkuu umeiangalia kiuoga sana bhana we unadai ameshakufa hujaona mkao aliokaa kuwa ni wa mtu aliye hao???Mtu aliyekufa hawezi kukaa alivyokaa huyo majeruhi maana kaegemeza kichwa chake juu ya mkono wake na anabalance nzuri tu wakati anahudumiwa.
Kwahiyo Kwa kidonda kama hicho unadhani huo mkao amejiweka mwenyewe hata wana gusagusa jeraha asikii maumivu na kama wamempa nusu kaputi basi ujue akujiweka huo mkao yeye mwenyewe king jeraha kama ilo maumivu yake siyo ya mchezo
 
Back
Top Bottom