Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Mako mzinguaji halafu ana tabia ya kupenda kuongea akiwashika shika wenzake mabega na hiyo huwa ni ishara ya kwamba mimi ni braza wewe ni dogo.
Ona alivyokuwa namshika mabega waziri.
 
Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?

Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,

Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,

Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
 
Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?

Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,

Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,

Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
Makonda sidhani kama analitaka jimbo ila akigombea ni 100% anachukua.
 
Siku wakikutana maeneo zinaweza kupigwa, au kutaka kupigwa… kama dauda alivyotakaga kuzipigaga na kijana mmoja wa kiarabu machachari kutoka familia tajiri anajiita simba wa bahari a.k.a “Sacrface” maeneo ya ushuani masaki mwaka uliopita au mwaka juzi kama sikosei.

Ila dauda gym zinamdanganya 😂 bila raia kuingilia kati angepasuka mpaka aibu

🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️💨
Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?

Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,

Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,

Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
 
Siku wakikutana maeneo zinaweza kupigwa, au kutaka kupigwa… kama dauda alivyotakaga kuzipigaga na kijana mmoja wa kiarabu machachari kutoka familia tajiri anajiita simba wa bahari a.k.a “Sacrface” maeneo ya ushuani masaki mwaka uliopita au mwaka juzi kama sikosei.

Ila dauda gym zinamdanganya 😂 bila raia kuingilia kati angepasuka mpaka aibu

🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️💨
Hahaha Simba wa bahari, yule anae tangazwa Sana pale kwenye biashara ya Wana ukwaju.

Hahaha hii code kiboko, Sema dauda yuko vizuri pia
 
Utofauti ni kwamba kwenye CCM kuna dola na dola ni nidhamu.
Kwa mfano Gambo alitakiwa akae kwa adabu (kutulia) kama alivyofanya baada ya kupigwa zile spana, angejaribu tu kunyenyua mdomo basi angeswekwa ndani siku tatu ama zaidi bila dhamana kwa amri ya Mkuu wa Mkoa.

Sasa kwenye vyama vyetu hivi vya siasa we ropoka lolote hakuna wa kukuzuia, tena unaweza kuropoka bila hata ushahidi kufurahisha wana umati wakuone wewe ndiyo staa.
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Mungu yupo kazini.
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Huo mbona ni cha mtoto,CCM hakuko shwari kiviiile,hizi tetesi za form zaidi ya moja April siyo jambo dogo. Hadi Sultan kuwekewa fungu la 12b kusaidia hii vita siyo mchezo maana kama atapitishwa yeye anaenda kukutana na upinzani wa ndani mkubwa hasa huku kwetu kanda ya ziwa ndiyo maana Lissu hatakiwi awe mwenyekiti wala mgombea wa Urais kwani kijani wa huku wameapa kwenda na Lissu kuliko mama dula.
 
Makonda alichofanya ni sahihi.Gambo hayahudhuria mikutano hivyo hakuwa na haki ya kumpa ultimatum waziri kwa kile ambacho angezungumzia kwenye vikao.
Ndio maana alinyamaza.Gambo hana tabia ya kunyamaza lakini hapo alijua amelikoroga kwa kutafuta cheap popularity.
 
Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?

Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,

Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,

Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
..na siku Makonda akitia nia ubunge wa Arusha mjini,anaweza kuwaacha watu wengi midomo wazi,kwa uungwaji mkono.
Arusha ya leo ndio Arusha ninayoijua mimi kabla ya mafigisu ya serikali fulani zilizopitaga..
Mji huu ni wa kutafuta hela asubuhi hadi saa tisa then jioni tunafanya vikao sehemu mbalimbali na kugawana kilicho chetu..
RC amesoma mchezo,anapiga muziki wetu..Gambo amvizie pengine lasivyo atamalizwa kisiasa na hataamini.
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Kwanza mimi nilidhani wanafanya commed, kuja kuangalia vizuri, waah!
 
Back
Top Bottom