Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

Yap nili jua tu, una jua kitu una weza kijenga kwa muda mrefu halafu uka haribu kwa sekunde 1 tu .

halafu wale Wana guard ya mzee wa tabasamu, sidhani Kama ange ruhusu dogo aende ndumo.

Halafu mk naye mshamba mshamba, hivi power ya madaraka ya muda ndo iku fanye ugombane na kila mtu .
Na naonaga Mzee Tabasamu hanaga habari na dauda, wala hajawahigi kumzingua… anamchukulia kama wanae kina Rizi tu na kina Mil-haj, na huenda mzee anamdharaugi akiamini ni bogus! Shule yenyewe inasemekana ni ya kimazabe. Hata rizi anamzidi kwa elimu na kujitambua. Ndomana ile sakata ya mwaka ule mpaka dauda akam-mention rizi kwenye orodha ya wasukuma ngada nguri nchini Mzee tabasamu hakuamua kumzingua, ila binafsi naamini mzee akiamua kummaliza ni mission ya wiki wiki anapoa na kupotea kama tukipuliza chai ya moto kwa feni. Yaan ni fyuuuuu! 💨Ishapoa… maulamaa twanywa 😂👍🏾
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Upande mmoja moto wa gas kwingine moto wa mabua
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
haya yetu masikio lakini sioni huo moto unaosema
 
Yule Waziri naye kilaza tu angekuwa anayejiamini angeutoa ule mkono tena kwa kuubetua kabisa.
That was disrepectful, mtu akikushika vile bega anamaanisha (Wewe ni Bwana mdogo) but also ni indication Makonda has some invisible power kuliko za hadharani.

Makonda atakuwa ni afisa Mwandamizi kwenye Usalama wa nchi
 
Back
Top Bottom