Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

Inaonekana hata CCM kuna moto unawaka chini kwa chini na Ushahidi ni karipio la hadharani la RC Makonda kwa Mbunge Gambo

Na akiingia bungeni anateuliwa kuwa Waziri Mkuu
Hilo ndio tamanio kubwa la DAB anamtaka mtu wa kumuingiza kule tu basi na huyu mama atamuingiza ndio maana Gambo anatetea Ugali wake mapema ili baadae isije ikawa tabu maana anajua kinachofuata ni nini
 
Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?

Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,

Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,

Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
Kwa hiyo Makonda na Gambo wapo kwenye vita ya ubunge?
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Hapo ni vita ya ubunge
 
Kwa hiyo Makonda na Gambo wapo kwenye vita ya ubunge?
Ulikua haujui na sio kwamba DAB anautaka Ubunge tu anataka mpaka kile kiti kikuu maana akipata Ubunge haitatosha atataka Uwaziri haitatosha atataka na kile kiti kikuu akae yeye, matamanio ya DAB ni zaidi ya vile unavyofikiri na Gambo yupo kutetea Ugali wake maana anajua DAB yupo kwenye kampeni za kumng'oa yeye kwenye Ubunge ili aingie Bungeni hilo ni tamanio kuu la DAB
 
Huo mbona ni cha mtoto,CCM hakuko shwari kiviiile,hizi tetesi za form zaidi ya moja April siyo jambo dogo. Hadi Sultan kuwekewa fungu la 12b kusaidia hii vita siyo mchezo maana kama atapitishwa yeye anaenda kukutana na upinzani wa ndani mkubwa hasa huku kwetu kanda ya ziwa ndiyo maana Lissu hatakiwi awe mwenyekiti wala mgombea wa Urais kwani kijani wa huku wameapa kwenda na Lissu kuliko mama dula.
Aiseeee hapo nimeioata logic openly.
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Ugomvi wa Gambo na Makonda ni sawa na ugomvi wa Mbowe na Lissu?
Gambo na Makonda wanagombea uenyekiti wa CCM hadi ulinganishe na ugomvi huko Chadema?
 
Ugomvi wa Gambo na Makonda ni sawa na ugomvi wa Mbowe na Lissu?
Gambo na Makonda wanagombea uenyekiti wa CCM hadi ulinganishe na ugomvi huko Chadema?
Wanagombea Ubunge wa Arusha na DAB kashaanza kufanya kampeni kitambo ili aingie Bungeni kupitia Arusha Gambo kashtukia chezo
 
Wanagombea Ubunge wa Arusha na DAB kashaanza kufanya kampeni kitambo ili aingie Bungeni kupitia Arusha Gambo kashtukia chezo
Kwani wameshachukua form za kuwania huo ubunge? Je wamepita wote uteuzi?
Ugomvi wao una màdhara gàni huko CCM taifa hàdi ulinganishe na vita ya Mbowe na Lissu?
 
Kwani wameshachukua form za kuwania huo ubunge? Je wamepita wote uteuzi?
Ugomvi wao una màdhara gàni huko CCM taifa hàdi ulinganishe na vita ya Mbowe na Lissu?
Mkuu mimi sijasema unachosema inaweza ikawa hatujaelewana labda
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Kwani ni lini CCM wakawa na utulivu? Kinachowaweka pamoja ni nguvu ya dola!
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Hata huko huwa moto unawaka na makundi yanazalishwa, ila uchaguzi ukifika ndio utagundua CCM hawataki utani, wanakuwa kitu kimoja kuhakikisha wanashinda
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Hamna moto kule kwa sababu DAB ni mwajiriwa wa serikali kama waajiriwa wengine. Yeye sio mwanasiana bali ni mtu wa kupenda attention na misifa ya kijinga ili aonekane hata kule alikotokea Kolomije(By Gwajima boy). Ili aonekane ni lazima akudhalilishe mebele za watu
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Hakuna moto unaweza kuwaka kwenye hilo chama la majoga na wategemea mbeleko ya vyombo vya dola.
 
Binafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali

Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani

Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea

Ni tahadhari tu 🐼
Huko ndio kuna moto usio wa kitoto. Ndio maana wanakazana kuuchochea moto wa CHADEMA ili wapate ahueni.
 
Back
Top Bottom