Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Kiboko yao ni Nangungu mkoani Lindi tafuta kwenye YouTube gesi asilia aliyofukiziwa Mwendazake kabla hajatumbuliwa
we jamaa inaonekana unapata msosi kwa tabu sanaKabla uje JF hakikisha unapata kiamsha kinywa mkuu....natumai akili yako iko sawa lakini.
Weeeh acha tu.we jamaa inaonekana unapata msosi kwa tabu sana
AseeeeeKiboko yao ni Nangungu mkoani Lindi tafuta kwenye YouTube gesi asilia aliyofukiziwa Mwendazake kabla hajatumbuliwa
Inasemekana jina Korogwe asili yake ni "Karogwe" liliasisiwa na Manamba wa Mkonge wa Kisukuma.nimeishi Korogwe kwa Maji Marefu
Huko enzi hizo nikiwa mdogo nilikua naona...Korogwe Kuna uchawi gani?
Daah!Kiboko yao ni Nangungu mkoani Lindi tafuta kwenye YouTube gesi asilia aliyofukiziwa Mwendazake kabla hajatumbuliwa
NakujaNilikua nasikiliza wimbo wa Utaonaje by Billnass, nasikia humo ndani anatuhamasisha wasikilizaji wake kwa kusema
"Ukitaka kuroga nenda Pangani."
nimeishi Korogwe kwa Maji Marefu nimejionea uchawi wa kila aina. Ila kwa sasa Inaonekana huko pangani Tanga kuna mambo mazito.
Copy to Mshana Jr BIN NUN Maya Angelou na wengine wote
Malizia kwanza mnyama huku anakufa,Nakuja
HajafaMalizia kwanza mnyama huku anakufa,
NdiooooooHajafa
KazimiaHajafa