Inaonekana huko Pangani kuna uchawi mkali sana

Inaonekana huko Pangani kuna uchawi mkali sana

JamiiForums-574240167.gif
 
Zito akiroga kasulu si tunaroga pangani

–Roma mkatoliki–
 
Nilikua nasikiliza wimbo wa Utaonaje by Billnass, nasikia humo ndani anatuhamasisha wasikilizaji wake kwa kusema

"Ukitaka kuroga nenda Pangani."

nimeishi Korogwe kwa Maji Marefu nimejionea uchawi wa kila aina. Ila kwa sasa Inaonekana huko pangani Tanga kuna mambo mazito.

Copy to Mshana Jr BIN NUN Maya Angelou na wengine wote
Mwaka 2012 nilienda huko na kikundi fulani tulikuwa tunahubiri injili kule Sakura na maeneo yote ya kipumbwi pale kwenye majahazi ya kwenda Zanzibar.

Pia tulijitolea kufundisha katika shule ya kipumbwi secondary. Aisee wale watoto asilimia tisini wamevalishwa hirizi (tulifahamu siku ya ijumaa maana tulipoamua kuimba kidogo ili tufanye maombi ya shukrani kabla ya kuondoka watoto karibu shule nzima walilipuka mapepo). Wale hawakuwa na utulivu darasani, yaani hawawezi kukaa kimya. Ni kama kuna nguvu fulani inawatawala.

Siku ya kwanza kwenye mkutano wetu wa injili uwanjani waganga (ambao ni masheikh) walikuja na zile tanbihi wanazunguka pale wakitamka maneno yao. Tukaanza kuomba Mungu atupe ushindi ili waondoke na ikiwezekana wampokee Yesu.

Kesho yake hawakuja na tukapewa taarifa kwamba wameondoka pale kijijini. Basi tukiwa na moto hasa tukapeleleza na kujua makazi yao na vilinge tukaenda kuwasha moto wa kiroho huko. Yaliyotokea baada ya pale ni historia.
 
Mwaka 2012 nilienda huko na kikundi fulani tulikuwa tunahubiri injili kule Sakura na maeneo yote ya kipumbwi pale kwenye majahazi ya kwenda Zanzibar.

Pia tulijitolea kufundisha katika shule ya kipumbwi secondary. Aisee wale watoto asilimia tisini wamevalishwa hirizi (tulifahamu siku ya ijumaa maana tulipoamua kuimba kidogo ili tufanye maombi ya shukrani kabla ya kuondoka watoto karibu shule nzima walilipuka mapepo). Wale hawakuwa na utulivu darasani, yaani hawawezi kukaa kimya. Ni kama kuna nguvu fulani inawatawala.

Siku ya kwanza kwenye mkutano wetu wa injili uwanjani waganga (ambao ni masheikh) walikuja na zile tanbihi wanazunguka pale wakitamka maneno yao. Tukaanza kuomba Mungu atupe ushindi ili waondoke na ikiwezekana wampokee Yesu.

Kesho yake hawakuja na tukapewa taarifa kwamba wameondoka pale kijijini. Basi tukiwa na moto hasa tukapeleleza na kujua makazi yao na vilinge tukaenda kuwasha moto wa kiroho huko. Yaliyotokea baada ya pale ni historia.
Damu ya Kristo Yesu inanguvu..

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom