Mkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofautUlienda kwa mkeo, mnaishi mikoa tofauti?!
Kama uko tayari kumuacha anza kumfuatilia, ila ungeongea naye kabla ya kuanza kumfuatilia! Mshtuko wake tuu utakupa jibu sahihi!!
Ila kama kweli kaingiza mwanaume ndani, kakosea mnoo!
Mwambie nina taarifa na ushahidi wa picha kuna mtu alikuja na ukamfungulia na kulala ndani. Mwambie majirani walikuwa wananieleza muda mrefu.Mkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
Usimtaje mtoto. Mshtuko tu na kujikanyaga kwake kutakupa jibu tosha na ukishamwambia Kama hutaki kumwacha usiendeleze maongezi mwache mwenyewe ajichanganye we chuna kimyaaMkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
Na waoo wanapandwa na nyege jmnUlienda kwa mkeo, mnaishi mikoa tofauti?!
Kama uko tayari kumuacha anza kumfuatilia, ila ungeongea naye kabla ya kuanza kumfuatilia! Mshtuko wake tuu utakupa jibu sahihi!!
Ila kama kweli kaingiza mwanaume ndani, kakosea mnoo!