Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Marinda ya nani?[emoji38][emoji38][emoji38]
Pole sana. Najaribu kuwaza hizi gadhabu zilikushika hapo hapo.
Kama unampenda na unajua huna uwezo wa kumuacha basi vunga tu au mchane kiujanja
Kama upo ngangari, wawekee mtego tu ukiwakamata unatafuna marinda tu.
Ukishindwa kabisa wasiliana na Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app