Inaonekana kuna jamaa analalaga na mke wangu ndani ya nyumba yangu

Inaonekana kuna jamaa analalaga na mke wangu ndani ya nyumba yangu

Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
kausha tu sio ishu
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Mkuu mrejesho vipi.
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Imeishia wapi.
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri

Hili swali kamuulize Mama yako, maana nadhani una upungufu.
 
Mkuu huon kuwa nikimhoji ntahatarisha maisha ya mtoto?? Naona Kama mtoto anaweza akamgeukia,ni kweli tunaish mikoa tofaut
.
Huna akili, unajua maama ya kuhoji, acha ugongewe tu, mtoto wako ana akili kukuzidi, unashindwaje kumhoji bila kumhusisha mtoto?

Unamwambia jana kuna mtu aliona mwanaume anagonga hapa usiku, mlango ukafungulia, akavunga akaona tena huyo mtu akitoka.

Atakuja na picha, sasa kabla picha hazijaja wd jielezee tu ni mwanaumwle gani kalala kwangu
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Fuatilia kimya kimya
 
Nilienda kwa mke wangu baada ya kupta wiki kazaa, cha kushangaza ni kwamba mtoto wangu wakwanza mwenye miaka minne aliniuliza hivi baba jana usiku ulikuja? Nikamjibu hamna. Akanambia jana usiku kuna mwanaume alipga hodi mama akamfungulia na akalala

Sasa je, nifuatilie nijue? Au nikaushe tu? Na mama unanshauri nifuatilie nianzeje?

Nipo njia panda naomba ushauri
Pole sana
 
ukianza kusema tu mtoto kakuambia maan ayake suahkuwa dhaifu sana...tumia akili hapo ashaliwa ashaleta mwanaume...tumia mbonu zingine ila sio uje kulia lia tena iwezi kumuacha...hapo ni maamuzi uhakikishe ajue kuwa unajua aliingiza au aga unasepa au uwepo ila usilete vurugu za kijinga...lengo lako nini aumfume au umuonyeshe unajua alingiza mwanaume...etc sasa akiliyako baada ya hap amua uendele naye au umpe onyo amana hamna mkamilifu, etc au basi.
 
Back
Top Bottom