Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we acha tu Hawa wanawake,yaan hapa nilipo nawaza sana leo ni ciku ya Saba bado nawaza tu na sjafanya chochote
huyo kaweka rehani marinda yakeMnhh kuna mabaharia wengine wana ujasiri..unatembea na mke wa mtu nyumbani kwake na mumewe?!
Anko Mpera unatembea na chaki tu mshua akiwa hayupo sio.. jiandae kuchanwa boga 🤣🤣🤣Mwambie dogo aache kutufatilia maanko. Alale ili akuwe kwa kimo na afya
Achana na mambo ya jiko tuendelee kula kwa mama muuza.Ebana eeh!; Na mpango wa kuvuta jiko ngoja nisongeze mbele
Akija kufumania aje na jeshi tu maana sio poa. 🤣🤣🤣Kama unataka kufatilia aga unasafiri kama kawaida ila katulie mahali then weka mtu mtego awe anakupa taarifa njemba akishatia maguu nawe unakuja fasta kufumua marinda
Nikakaribia kupata wajukuu,Ukikua utajionea mwenyewe
Jamaa akazane kumkanya mwanaeMama akijua dogo ndio kamchongea atamtia vitasa kichizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] af inaonesha ni mtoto wa kike huyo ndio maana amemfungukia mshua. Wa kiumeni angeuchuna!
Anko Mpera unatembea na chaki tu mshua akiwa hayupo sio.. jiandae kuchanwa boga 🤣🤣🤣