Mkuu Fanya uchunguzi acha uboya ukaushe utapata fedheha utalea watoto sio wako, asilimia kubwa kama huyo mtu anakuja usiku tu zaidi ya Mara moja tayari unachapiwa halafu hawa wanawake wapumbavu sana hapo anajua mtoto haelewi chochote au kalala fofofo na ukute wanagegedana na mtoto anasikia ila hawezi kukuambia Fanya kitu acha uboya watoto wataharibika kisaikolojia huko mbeleni kwa ufuska wa mama yao Nina reference hapa mtaani kuna mama na mwanae wa kike ka form 3 ilifika kipindi wanagegedwa mama na mtoto na jamaa baba mwenye nyumba mze wa mishemishe kama wewe