econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.