Inaonekana Sabaya anataka kuzama na Mbowe

Inaonekana Sabaya anataka kuzama na Mbowe

Hata mwananchi wakawaida alikuwa adui wa vitendo vya Sabaya alikula akavimbiwa hakutapika akaendelea kula hadi akajikuta ICU baada ya kushindwa kupumua....alishindwa kula kwa urefu wa kamba yake kwa lugha nyepesi
 
Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi! Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hi...
Wewe ndio wale mapimbi mliokuwa mnanunuliwa bia na jambazi Ole Sabaya?
 
Huyo Sabaya alitoa taarifa kama anatafutwa na wahalifu? Mwenyekiti wa ulinzi unaetembea na SMG na Pistol kiunoni unalia eti ulitaka kuuwawa na nani? Ile awamu Sabaya,Ali Hapi, Charamila na yule mwingine wa Dar mlikuwa untouchable.

Mkiguswa tu basi ulinzi wote wa magogoni unakuja kutoa backup na wasiojilikanika wangekuwa kazini kumsaka huyo mbowe. In short maisha ya wapinzani yalikuwa mashakani 24 hrs na mda wa kupanga hayo hawakuwa nayo Kwani kesi za uchochezi zilikuwa zimewabana,
 
Eti Sabaya amzamishe mbowe thubutu,mwambie aende atatoe ushahidi kesi ya mbowe mbele ya ile team ya mawakili ,wenzake wamejikojolea yeye atajinyea
 
Pale hakuna ushahidi ulionyooka ni magumashi tu nakuambia! Wanaletwa mashahidi toka Dar shahidi wa msingi yuko Arusha palepale anaachwa!

Tena Derava wake ambae kwavyovyote alikuwanae siku ga tukio wanaodai walikuwa wote Arusha nje kituo cha kazi na gari la Serikali tena bila kibali cha mkuu wa kazi
Kwa hilo nitakuwa wa mwisho kuamini!!kwani ni unyama mwingi sana ameufanya, na ndio maana kwa haya yote hakuna mwenye mashaka nayo kuwa hakuyafanya, ukianzia kwenye hiyo kesi ya ujambazi kila kitu kilikuwa wazi kabisa, na hata hii ushahidi uliopo unatosha kabisa kumpa mvua nyingine za kutosha!!unaona kesi za KUBUMBA, kama ya mbowe inavyowapa tabu mawakili wa serikali na mashahidi wao?shaihidi huyu anasema hivi yule hivi!!lakini ya Sabaya kila shahidi anapita mule mule tu.kuna nini hapo?
 
kama sabaya alikuwa jambazi wa wazi na mbowe alitaka kumuua jambazi kuna tatizo hapo?

mbowe angekuwa amesaidia sana wananchi
 
Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.

Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.

1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.

2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.

3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.

Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
kilaza
 
Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.

Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.

1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.

2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.

3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.

Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Hukumu zote zitaenda kwa wakati mmoja na hata akifungwa mingine 30.

Huyu atarudi uraiani within 13 year's.

Mtamuona akipita na V8 ingine maana anao mifugo ya kutosha na atakuta imezaliana.

Shangaa mtoa rushwa Mrosso yuko huru,huku mpokeaji akiwa magereza.

Sheria inasema mtoaji na mpokeaji wote huwa ni watuhumiwa na walistahili kuwa mbaroni.
 
Hukumu zote zitaenda kwa wakati mmoja na hata akifungwa mingine 30.

Huyu atarudi uraiani within 13 year's.

Mtamuona akipita na V8 ingine maana anao mifugo ya kutosha na atakuta imezaliana.

Shangaa mtoa rushwa Mrosso yuko huru,huku mpokeaji akiwa magereza.

Sheria inasema mtoaji na mpokeaji wote huwa ni watuhumiwa na walistahili kuwa mbaroni.
Ulitaka Mrosso akamatwe na nani wakati mkamataji kwa "wadhifa"(mkuu wa wilaya na mwakilishi wa Rais) ndiye aliye kuwa analazimisha apewe rushwa.

Je Mrosso angeweza kwenda kushitaki wapi wakati bado Sabaya ni mkuu wa wilaya aliyekuwa amekasimishwa nguvu za Rais ktk "special task force" Ulitaka auliwe?
 
Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.

Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.

1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.

2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.

3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.

Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
It seems to me that you are trying to influence that Sabaya is Ok but Mbowe is guilty
 
Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi!

Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hii! Anaemtuhumu Sabaya kuwa alimpa rushwa ya milion 90 yupo nje analanda wakati anajinasibu alimpa milion 90 ili asimkate kwa kosa la kukwepa kodi.

Alipoulizwa askari ambae ni shahidi kuwa huyo mtu mmemkata? Akajibu hapana! Kwanini hamjakmata wakati amekwepa kodi? Kimyaaa! Sawa njoo kwenye footage za cctv camera yani hakuna sura ya mtu inayoenekana lakini wanaipeleka mahakaman kama ndiyo ushahidi wao.
Sabaya maji yamemfika shingoni hadi anatoa utetezi usio wa kisheria.
 
Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.

Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.

1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.

2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.

3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.

Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Simu za Mbowe zilikwisha pimwa kisayansi jina la Sabaya halimo na maabara imefungwa, kesi inajibiwa kwa ushahidi madhubuti.
 
Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi!

Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hii! Anaemtuhumu Sabaya kuwa alimpa rushwa ya milion 90 yupo nje analanda wakati anajinasibu alimpa milion 90 ili asimkate kwa kosa la kukwepa kodi.

Alipoulizwa askari ambae ni shahidi kuwa huyo mtu mmemkata? Akajibu hapana! Kwanini hamjakmata wakati amekwepa kodi? Kimyaaa! Sawa njoo kwenye footage za cctv camera yani hakuna sura ya mtu inayoenekana lakini wanaipeleka mahakaman kama ndiyo ushahidi wao.
Unajua maana ya kum- blackmail mtu??

Ukiwa ukishakua upande huo basi unakua mbumbumbu moja kwa moja
 
General Sabaya Ole Lengai au ukipenda 4 star General kesi yake haina uhusiano na Kesi ya Mbowe.

General Sabaya Ole Lengai kesi yake ni ujambazi wa wazi.
Upo sahihi kabisa! Sabaya na wafuasi wake ni wa ovyo sana!
Screenshot_20220120-152834.png
Screenshot_20220120-152834.png
 
Back
Top Bottom