Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwa hiyo unaamini anachoropoka huyo mpuuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio wale mapimbi mliokuwa mnanunuliwa bia na jambazi Ole Sabaya?Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi! Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hi...
Kwa hilo nitakuwa wa mwisho kuamini!!kwani ni unyama mwingi sana ameufanya, na ndio maana kwa haya yote hakuna mwenye mashaka nayo kuwa hakuyafanya, ukianzia kwenye hiyo kesi ya ujambazi kila kitu kilikuwa wazi kabisa, na hata hii ushahidi uliopo unatosha kabisa kumpa mvua nyingine za kutosha!!unaona kesi za KUBUMBA, kama ya mbowe inavyowapa tabu mawakili wa serikali na mashahidi wao?shaihidi huyu anasema hivi yule hivi!!lakini ya Sabaya kila shahidi anapita mule mule tu.kuna nini hapo?Pale hakuna ushahidi ulionyooka ni magumashi tu nakuambia! Wanaletwa mashahidi toka Dar shahidi wa msingi yuko Arusha palepale anaachwa!
Tena Derava wake ambae kwavyovyote alikuwanae siku ga tukio wanaodai walikuwa wote Arusha nje kituo cha kazi na gari la Serikali tena bila kibali cha mkuu wa kazi
kilazaKatika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Hukumu zote zitaenda kwa wakati mmoja na hata akifungwa mingine 30.Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Ulitaka Mrosso akamatwe na nani wakati mkamataji kwa "wadhifa"(mkuu wa wilaya na mwakilishi wa Rais) ndiye aliye kuwa analazimisha apewe rushwa.Hukumu zote zitaenda kwa wakati mmoja na hata akifungwa mingine 30.
Huyu atarudi uraiani within 13 year's.
Mtamuona akipita na V8 ingine maana anao mifugo ya kutosha na atakuta imezaliana.
Shangaa mtoa rushwa Mrosso yuko huru,huku mpokeaji akiwa magereza.
Sheria inasema mtoaji na mpokeaji wote huwa ni watuhumiwa na walistahili kuwa mbaroni.
It seems to me that you are trying to influence that Sabaya is Ok but Mbowe is guiltyKatika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
Saambaya ndo alitaka kumuua mboweUnamanisha ni kweli Mbowe alitaka kumuua Sabaya...?
Sabaya maji yamemfika shingoni hadi anatoa utetezi usio wa kisheria.Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi!
Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hii! Anaemtuhumu Sabaya kuwa alimpa rushwa ya milion 90 yupo nje analanda wakati anajinasibu alimpa milion 90 ili asimkate kwa kosa la kukwepa kodi.
Alipoulizwa askari ambae ni shahidi kuwa huyo mtu mmemkata? Akajibu hapana! Kwanini hamjakmata wakati amekwepa kodi? Kimyaaa! Sawa njoo kwenye footage za cctv camera yani hakuna sura ya mtu inayoenekana lakini wanaipeleka mahakaman kama ndiyo ushahidi wao.
Simu za Mbowe zilikwisha pimwa kisayansi jina la Sabaya halimo na maabara imefungwa, kesi inajibiwa kwa ushahidi madhubuti.Katika ushahidi wake leo, aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya ameendelea kudai kuwa Kuna watu walinipanga kuja kumuua. Ikumbukwe hata kesi iliyopita ya unyanganyi kwa kutumia silaha, Sabaya kwenye ushahidi wake alidai Kuna watu walipanga kumuua na amewahi kujificha na familia yake.
Swali la kujiuliza Ni kwanini Sabaya amerudia Mara ya pili kwenye ushahidi wake kudai kwamba kulikuwa na kundi lilipanga kumuua? Kuna Mambo matatu ya kutazama.
1. Ukijaribu kuangalia ushahidi wa Sabaya unalenga mwishoni kwenye kundi Fulani la watu waliotaka kumuua. Na ikumbukwe Kuna kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Mbowe na wenzake ambayo kwenye mashtaka inadai watuhumiwa walipanga kuwadhuru Viongozi, hasa Sabaya. So Sabaya anajaribu kuomba symphathy ya dola dhidi ya watuhumiwa. Hivyo anatumia nguvu kubwa sio kujitetea Bali kutaka kuonesha jinsi akina Mbowe walivyotarajia kumuua.
2. Ni Kama Sabaya ameshakata tamaa na kesi kwa hivyo anajua anaweza kupatikana na hatia na kufungwa hivyo ameamua kutumia ushahidi wake kukazia kuwa Ni kweli kina Mh Mbowe walipanga kumuua. Hivyo kwenye ushahidi wake lazima ataje mipango ya kumuua Kama njia ya kudhibitisha kwamba kina Mh Mbowe kweli wanahusika na mashtaka ya ugaidi.
3. Sabaya anajitetea kuwa amenusurika kuuawa kwenye ushahidi wake Mara mbili Kama njia ya kuwakumbusha wenye madaraka na dhamana kwamba Kama mtanifunga na mbowe mumfunge. Yani Ni Kama anapiga kelele kwmba Mbowe alitaka kumuua hivyo itakuwa unfair kama ataachwa huru Halafu yet afungwe.
Hivyo, Sabaya kurudia rudia kudai Kuna watu waliotaka kumuua, Ni njia ya kutaka kuzama na mbowe kwenye maji wafe wote. Cha msingi Ni kusubiri muda utatuambia Nini. Je watazama wote au mmoja atazama.
.Mtu anayekaribia kufa hupigapiga miguu kama anataka kuinuka. Muache aropoke ila mshahara wa dhambi ni mauti. Na sasa ndiyo anaupokea. Sabaya ni shetani sawa na Makonda na baba yao Magufuli
Unajua maana ya kum- blackmail mtu??Nikifatilia global tv kesi ya sabaya inaonekana imetaka tu ifunge lakini ile kesi wanansheria wa serikali pamoja na mashahidi wa serikali ni wepesi kama karatasi!
Hakuna la maana ambalo unaweza kusema kweli jamaa alihusika direct sehemu hii! Anaemtuhumu Sabaya kuwa alimpa rushwa ya milion 90 yupo nje analanda wakati anajinasibu alimpa milion 90 ili asimkate kwa kosa la kukwepa kodi.
Alipoulizwa askari ambae ni shahidi kuwa huyo mtu mmemkata? Akajibu hapana! Kwanini hamjakmata wakati amekwepa kodi? Kimyaaa! Sawa njoo kwenye footage za cctv camera yani hakuna sura ya mtu inayoenekana lakini wanaipeleka mahakaman kama ndiyo ushahidi wao.
Upo sahihi kabisa! Sabaya na wafuasi wake ni wa ovyo sana!General Sabaya Ole Lengai au ukipenda 4 star General kesi yake haina uhusiano na Kesi ya Mbowe.
General Sabaya Ole Lengai kesi yake ni ujambazi wa wazi.