Huwezi amini atapata wakili wa kumtetea ,ningekuwa mwanasheria kesi Kama hizo sichukui hata Kama Kuna bilioni 100 mfukoni maana nitahahakisha anafungwaHivi Yule mwalimu wa madrasa kashapelekwa mahakamani?
duuh ni hatari yaani 22 kapita naoHuwezi amini atapata wakili wa kumtetea ,ningekuwa mwanasheria kesi Kama hizo sichukui hata Kama Kuna bilioni 100 mfukoni maana nitahahakisha anafungwa
Putin anataka itengeneza USSR halafu kati ya washirika wakubwa sana wenye kujiweza kiuchumi ambapo Putin asingemudu kumpoteza ni Ukraine.....imebidi atumie by force by power akilini anaamini Ukraine ni Urusi ndogoBaada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. kwanini?
Putini ni mtu muongo muongo sana. Putini anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu kujustify uvamizi.
Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Kwa dunia hapa ilipofika ni ngumu Kwa Russia kuunda USSR Hilo sahauPutin anataka itengeneza USSR halafu kati ya washirika wakubwa sana wenye kujiweza kiuchumi ambapo Putin asingemudu kumpoteza ni Ukraine.....imebidi atumie by force by power akilini anaamini Ukraine ni Urusi ndogo
Tulia awamu yao yakujikuta kama cremia bado.🚶Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. kwanini?
Putini ni mtu muongo muongo sana. Putini anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu kujustify uvamizi.
Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Ukrein alikuwa hasemi ukweli kwani kaweka msimamo huo mpaka ndani ya katiba yake.Yawezekana sababu haikuwa kujiunga NATO pekee
maana ukraine alishasema kuwa mpango wa kujiunga NATO
Ameshaachana nao lakin jamaa bado hawapo tayari kusitisha vita,
nadhani putin lengo lake nikuigawa ukraine,
tupe kipengelee hlf urudi utuambie nan yupo juu ya katiba ya nchi jiranUkrein alikuwa hasemi ukweli kwani kaweka msimamo huo mpaka ndani ya katiba yake.
Na Dunia itakuwa inamwangalia tu huyo Putin akijiongezea vijisababu vya kuichukua kwa nguvu Ukrain?Kuna mtaalamu mmoja aliwahi kusema,
Style ya kirusi kwenye negotiation table haijabadilika Toka enzi za Muscovy.
Wataanza na vitu vichache, mkishindwa kukubaliana.
Walianza na kutaka:
1) Ukraine wasijiunge NATO
2)Kuitambua Crimea kuwa sehemu ya Urusi.
3)Kuyapa autonomy majimbo ya Luhansk na Donetsk kifupi waunde Federation.
Mazungumzo yalifanyika Belarus
Ujue the second round wataongeza mahitaji, msipokubaliana
Angalia:
1) wasijiunge NATO
2)Kuitambua Crimea
3)kuyatambua majimbo yaliyo jitenga kuwa nchi huru.
4)Denazification
5)Kuirudisha lugha ya Kirusi kuwa lugha rasmi.
Third round Hali itazidi kuwa mbaya, hivyo ni Bora kulimaliza mnapoanza meza ya mazungumzo.
Wameongeza Sasa sio tu Luhansk na Donetsk, Sasa Kherison imeenda, Odessa itaenda yaani watapoteza eastern na south, kutokuwa na access ya bahari.
Sasa Vladimir Vladirmovich Putin anasema wanapigania ardhi yao ya asili, maana yake kuna possible ya huo upande kuja kuunganishwa na Urusi siku Moja.
Kwa hiyo NATO/US ndio dunia sio.Na Dunia itakuwa unamwangalia tu huyo Putin akijiongezea vijisababu vya kuichukua kwa nguvu Ukrain?
Kipengere Cha kujiunga NATO kipo kwenye katiba ya ukrein na siyo Siri mkuu. Mtu kujilinda ni mhimu na ndiyo maana unajenga nyumba unaweza nondo na mageti Ili ujihakikishie usalama wako huku Kuna polis wanakulinda.tupe kipengelee hlf urudi utuambie nan yupo juu ya katiba ya nchi jiran
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kazidi kamshinda hata yule padri wa kule vaticanduuh ni hatari yaani 22 kapita nao
So mkuu unataka kusema Putin ni muongo muongo kama Jiwe? [emoji848]Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?
Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.
Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Naye Ashughulikiwe!Huwezi amini atapata wakili wa kumtetea ,ningekuwa mwanasheria kesi Kama hizo sichukui hata Kama Kuna bilioni 100 mfukoni maana nitahahakisha anafungwa
... ni haki yake kupata wakili wa kumtetea. Pili hayo ni madai tu, until proven guilty by the court ndio hapo unaweza kumwona mbaya; ila kwa sasa hivi ana haki zote including kupata wakili wa kumtetea.Huwezi amini atapata wakili wa kumtetea ,ningekuwa mwanasheria kesi Kama hizo sichukui hata Kama Kuna bilioni 100 mfukoni maana nitahahakisha anafungwa