kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?
Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.
Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.
Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?