Inaonesha Wasaidizi wa Rais hawako makini kivile!

Kusameheana kupo na inawezekana iwapo mama akiamua kumwambia DPP kesi aachane nayo kwa maslahi mapana ya taifa.
 

Yeye ni kama mwenzake aliesema sadam wa kuwait
 
sio kwa nia mbaya ila ni mzanzibar, uzanzibar wake una athiri uongeaji pia mfano juzi anasema polisi wanaweka ma bichwa yao kwenye gari
hivo basi haitotokea siku azungumze kama tunavotegemea
Usilete hoja nyepesi kwenye masuala nyeti dogo
 
sijawahi kumsikia akisema hivo,ila kama kweli alisema hivi huwezi kumrekebisha kwenye haya maana ni jambo ambalo alipaswa kulijua huko shuleni kwamba zilikuwepo hizo shule
Ina maana hukufatilia hotuba ya raisi alipokua akihutubia taifa?
 
Kitu..kikubwa kwa mtu uliezoea kusmamia ukweli huwezi kuuishi uongo, hichi ndicho kinatokea hapa.Ile kesi inaleta kigugumizi sana Mama hawezi kusema fulani ama kundi fulani limempotosha ndy anajikuta indirectly anasema maneno tofauti tofauti. Mtoa mada kuusimamia uongo lazma uwe na kipaji cha Uongo!Mi niko na mama...Uongo sio kipaji chake..Kesi ni ghalasa na sasa ifuutwe basi!!Tanzania ni ya wote, na wote ni yeye,wewe, yule, Freeman na mimi!!
 
Kwani Rais kasema atasamehe bila mtu kuhukumiwa? Na je kama atatoa maelezo kwa DPP?

Acheni ujinga ,Mbowe kaelezwa wazi aache dharau na kuleta chokochoko Nchini.
 
Rais Samia alikwishakiri kuwa alifeli fomu IV. Na yule mwingine aliyetangulia alishindwa kwenda full combination (PCM, nk) akaishia half-combi (CM) Mkwawa. Hivi kwa nini ni vigumu kupata Rais smart kama Mkapa, Nyerere? Hawa CCM sijui huwa wanachaguana kwa vigezo gani tu!!
 
hata kuhusu ndege hawakusema wakati wakupata uhuru tulikua na ndege ngapi'
 
Yeye alishatoa hukumu, na leo kakazia sasa sijui kama wateule wake wataweza kwenda kinyume nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…