Wataalam naombeni kujua kuhusu hili, maana amezaliwa England kwa Mama Mzungu na Baba Mtanzania wa Zanzibar.
Kwenye timu ya England U 17 amecheza pia. Na sasa ni kati ya mabeki wetu wa kutegemewa Taifa Star.
Je, mchakato wa uraia wake upoje?
Nikiri nimechelewa kulijua hili.
PIA NAOMBENI MAJIBU YASIYO NA MATUSI MAANA MTANZANIA UKIOMBA KUJUA JAMBO UTAONA ATAKACHOJIBIWA HADI AKOME
Kwenye timu ya England U 17 amecheza pia. Na sasa ni kati ya mabeki wetu wa kutegemewa Taifa Star.
Je, mchakato wa uraia wake upoje?
Nikiri nimechelewa kulijua hili.
PIA NAOMBENI MAJIBU YASIYO NA MATUSI MAANA MTANZANIA UKIOMBA KUJUA JAMBO UTAONA ATAKACHOJIBIWA HADI AKOME