Inaonyesha Haji Mnoga alichezea U 17 ya Uingereza na sasa Taifa Star

Inaonyesha Haji Mnoga alichezea U 17 ya Uingereza na sasa Taifa Star

Sio kweli diego costa kacheza Brazil ya wakubwa kombe la mabara baadae akachukua uraia wa spain kacheza
Wachezaji kama
Larpote kacheza France kaenda Spain
Zaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia details: Kombe la mabara kweye qualifier stage haichukuliwi na FIFA kuwa umeshiriki mashindano rasmi ukiwa timu ya Taifa ila kama ukishiriki fainali zake. Kwa mfano kama tusingefuzu kushiriki fainali za AFCON zijazo, wachezaji walioshiriki hatua za awali hawafungwi na sheria hii ya FIFA ya kutokuchezea timu za Taifa mbili.

In September 2020, the 70th edition of the FIFA Congress approved a rule change that now allows players to switch if they have played no more than three competitive matches at senior level prior to them turning 21 including no appearances in FIFA World Cup finals matches or continental finals (e.g. the UEFA European Championship). However, appearing in a tournament qualifier would not.[31][32][33][34] Furthermore, players who played for their home country but not at senior level, who were under 21 at the time and have since lived in a new country for five years or more can apply for the right to represent their new place of residence.[35] This also applies to players that began living on the territory before the age of 10 for at least three years.[36]

Lakini pia mchezaji kushiriki timu ya Taifa kwenye mechi za kirafiki hazimfungi mchezaji na timu hiyo ya Taifa kwa mujibu wa FIFA.

Friendly match appearances do not commit a player to one country; Jermaine Jones played several friendlies for Germany but made his debut for the United States in 2010.[22] Thiago Motta had three caps for Brazil in matches deemed friendlies for Brazil (participation in the CONCACAF Gold Cup as a non-conference guest team) and went on to represent Italy for five years.[23] Diego Costa represented Brazil in two friendlies[24][25] before switching his allegiances to Spain in 2013,[26][27] going on to represent the latter at the 2014 and 2018 FIFA World Cups.

Zingatieni pia kuwa kabla ya 2020 mtu alikuwa anafungwa kwenye timu moja ya wakubwa ya Taifa akiichezea mechi moja tu. Lakini baada ya 2020, inabidi mtu achezee mechi zaidi tatu kwenye timu ya wakubwa ya Taifa akiwa chini ya miaka 21 ili asipewe fursa ya kuchezea timu nyingine ya Taifa ya wakubwa!!
 
Unachosema siyo kweli!! Kwa mujibu wa kanuni za FIFA kuhusu uchezeaji wa timu za Taifa, MTU MMOJA HAWEZI KUCHEZEA ZAIDI YA NCHI MOJA KWENYE TIMU YA TAIFA YA WAKUBWA KATIKA MAISHA YAKE!! Kuchezea timu za under 17, 21 etc haimnyimi mtu kuchezea Taifa jingine!! Lakini kuanzia 2020, kanuni zilibadilika. Mtu anaweza kuchezea si zaidi ya mechi 3 kwenye timu ya Taifa ya Wakubwa akiwa na umri usiozidi miaka 21, na bado akaruhusiwa kuchezea Taifa jingine ambalo ana nasaba nalo kupitia mmoja wa wazazi wake!! Lakini mtu zaidi ya miaka 21 akicheza timu ya Taifa ya wakubwa mara moja tu, hawezi kuruhusiwa kuchezea timu nyingine!! Lakini hapa hatuzungumzii mechi za kirafiki au mechi za kufuzu (qualifiers)
huyo dogo yeye amesema ni mtanzania na anajivunia utanzania. although anafanya sucrifice kubwa sana ambayo wabongo hawaioni. kama amezidi miaka 18 that means ameamua kuwa mtanzania badala ya kuwa muingereza. kama angeamua kututosa wabongo, kwa kifupi, yeye kuwa na passport ya uingereza ni heshima kubwa sana, anaweza kupata mafao mengi tu nayo na ataheshimika bila kusumbuliwa popote atakapoenda, tofauti na wewe unayeomba visa kila unakoenda, uingereza angekuwa ameamua kuwa muingereza akawa na passport ya uingereza, hahitaji visa kwenye nchi nyingi sana na kila anakoenda ana privileges nyingi sana kwasababu tu yeye ni muingereza. kuna manufaa hata ya shule, social securities na ajira n.k. hivyo vyote ameamua kusacrifice ili awe mbongo nchi ya ubabaishaji. hamuoni kama watu wanatwishwa mzigo mzito sana ili wawe watanzania? uraia wa nchi mbili una shida gani na hasara gani kama tukiongea kwa hoja. sio huyo mmoja tu, wapo na wengine wengi huku majuu, wabongo kila wakienda huku huwa wanazaa na hao watoto ni damu yetu.
 
huyo dogo yeye amesema ni mtanzania na anajivunia utanzania. although anafanya sucrifice kubwa sana ambayo wabongo hawaioni. kama amezidi miaka 18 that means ameamua kuwa mtanzania badala ya kuwa muingereza. kama angeamua kututosa wabongo, kwa kifupi, yeye kuwa na passport ya uingereza ni heshima kubwa sana, anaweza kupata mafao mengi tu nayo na ataheshimika bila kusumbuliwa popote atakapoenda, tofauti na wewe unayeomba visa kila unakoenda, uingereza angekuwa ameamua kuwa muingereza akawa na passport ya uingereza, hahitaji visa kwenye nchi nyingi sana na kila anakoenda ana privileges nyingi sana kwasababu tu yeye ni muingereza. kuna manufaa hata ya shule, social securities na ajira n.k. hivyo vyote ameamua kusacrifice ili awe mbongo nchi ya ubabaishaji. hamuoni kama watu wanatwishwa mzigo mzito sana ili wawe watanzania? uraia wa nchi mbili una shida gani na hasara gani kama tukiongea kwa hoja. sio huyo mmoja tu, wapo na wengine wengi huku majuu, wabongo kila wakienda huku huwa wanazaa na hao watoto ni damu yetu.
Uraia pacha wa nini
Amua kuwa Mtanzania pekee au uwe Raia mweusi ndani ya nchi ya wazungu
Jione fahari kuwa Mtanzania
Unasema nchi ya kubabaaisha kivipi
Kama ni hivo kawe Raia wa popote unapotaka
Kuwa Raia wa Tanzania tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uraia pacha wa nini
Amua kuwa Mtanzania pekee au uwe Raia mweusi ndani ya nchi ya wazungu
Jione fahari kuwa Mtanzania
Unasema nchi ya kubabaaisha kivipi
Kama ni hivo kawe Raia wa popote unapotaka
Kuwa Raia wa Tanzania tu


Sent using Jamii Forums mobile app
shida ni kwamba kichwa chako kimejaa kamasi tu, na hauna exposure. ungeongea hoja, kwako wewe uraia pacha una madhara gani? inakuathiri nini wewe kama Tanzania itakuwa na uraia pacha? mbona nchi zingine zenye uraia pacha zina ishi vizuri hata kuliko tanzania?
 
Kuchezea timu ya England under 17 hakumzuii kuchezea taifa lingine ambalo ni raia!! Kwa mujibu wa FIFA alikukuwa na haki ya kuchezea England kwa sababu alizaliwa England kwa hiyo ni muingereza kwa kuzaliwa. Lakini kwa kuwa baba yake ni Mtanzania, anaweza kuomba uraia wa Tanzania na kustahili kuchezea Taifa la Tanzania. Ila kama angechezea Timu ya wakubwa ya uingereza hata mara moja tu, hapo asingekuwa na haki ya kuchezea Timu ya Taifa ya nchi yoyote nyingine!! Hiyo ni mkwa mujibu wa FIFA. Mtu mmoja hawezi akachezea timu zaidi ya moja ya Taifa katika maisha yake!!
Una uhakika?
 
hakuna madhara yeyote tutakayoyapata tukiingia uraia wa nchi mbili, ,una opportunities nyingi sana watanzania wanazikosa duniani kwasababu ya uraia pacha hakuna na nchi ina kosa vitu vingi kwasababu hiyo. tunatakiwa kulivalia njuga hadi viongozi wetu waelewe. shida ni kwamba, majority ya wote wanaoupinga, including baadhi ya viongozi, ni washamba na exposure kwao ni ndogo. ati utahatarisha usalama wa nchi kwa kuwa na uraia pacha?

chukua mfano, kenya,ghana, nigeria, rwanda, uingereza, israel, marekani na nchi zengine kibao, zina uraia pacha, wamedhurika nini?jifunze kwa wakenya tu hapo uraia pacha umewadhuru nini? protectionism ya watanzania ndio inaturudisha nyuma na watu wanafikia hatua wanaona kuwa watanzania ni mzigo. nchi wanaipenda lakini unakuwa mzigo mkubwa kuubeba. hivi mtu akitaka kuja kuidhuru Tanzania, anahitaji kutumia waraia pacha kweli? wakati akikaa tu marekani au ulaya kwa kutumia hizo simu tu mnazonunua, mitandao ya kijamii mnayotumia, au hata kuhack internet hata ya taifa lenu lote akajua kila kitu hadi chooni mmeenda saa ngapi anajua. nchi nzima tupo kiganjani mwa mzungu, google earth tu hapo hii ya kawaida ambayo ni ya raia unaweza kuona hadi mtaa na kuamua ukapige wapi au ukafanye nini hata kama haujawahi kufika tz. sembuse mitambo kibao ya kiulinzi ambayo hawajadisclose? ati unaogopa uraia pacha, imetusaidia nini? mambo ya sera z aujamaa/urusi zitatutoka lini?

halafu, uzalendo hauji kwa kuwa mtanzania, unaweza kuwa mtanzania pure ukaitosa nchi. chukua mfano, manyanyaso yanayofanywa kwa raia, umasikini, maisha magumu, manyanyaso ya ccm, kwani akija mto toka nje anataka information muhimu unafikiri hao mnaowaumiza moyo hawatawasaliti? mnafikiri hawajawasaliti? tena ni wazawa pure. si wanawapa mpunga tu, ukiwa na pesa unaweza kupata chochote kwa mzawa na asiye mzawa, viongozi wetu huu ukoko vichwani mwao sijui utakuja kuwatoka lini.
Umeandika mengi ila embu tungie kwenye tafakuri

Wengi wanaotaka uraia pacha ni kwa ajili ya economic benefit kwa mataifa ya ughaibuni khasa Ulaya na Marekani.
Ushawahi kujiuliza Uraia pacha pia utahusika kwa mataifa tuliyopakana nao?
ushafikiri madhara ya kiuchumi, kijamii, kisiasa na kitamaduni pale wimbi kubwa kutoka mataifa kama Kongo, Rwanda, Burundi,Msumbiji, KOmoro, Kenya,Zambia, Malawi,Somalia na Zimbabwe?
Unaweza kulikontroo na kulidhibiti hili kundi?

kwa nini uraia pacha na sio tatu au nne au zaidi? Msingi mkubwa wa watu kutaka uraia pacha ni klwa sababu waliukana uraia wa Tanzania kwa ajili ya manufaa yao binafsi(profiteers) unadhani hawa watu wataendelea kuwa wazalendo?

Ukitaka kuwekeza Tanzania njoo kama mgeni mwekezaji ila wengi waliopo nje wanafanya kazi za kijungu jiko tu.
 
shida ni kwamba kichwa chako kimejaa kamasi tu, na hauna exposure. ungeongea hoja, kwako wewe uraia pacha una madhara gani? inakuathiri nini wewe kama Tanzania itakuwa na uraia pacha? mbona nchi zingine zenye uraia pacha zina ishi vizuri hata kuliko tanzania?
Ww ndo ujui . Kuna a lot of effects from political interference to economic interference . Uraia pacha ni country system failures . Yani mtu wa Norway agombee Ubungo Tanzania Akiwa raia wa Norway . Anaweza kuwa corrupt and then extradiction and law interference ikawa ngumu . Uraia pacha ni mbaya sana na very few countries implement it . Ww ndo akili huna . Kichwani matope . Ujui kitu . Exposure yako imeishia kusikia tu kwa watu . Kama sio a powerful country this is a stupid policy ever
 
Ww ndo ujui . Kuna a lot of effects from political interference to economic interference . Uraia pacha ni country system failures . Yani mtu wa Norway agombee Ubungo Tanzania Akiwa raia wa Norway . Anaweza kuwa corrupt and then extradiction and law interference ikawa ngumu . Uraia pacha ni mbaya sana na very few countries implement it . Ww ndo akili huna . Kichwani matope . Ujui kitu . Exposure yako imeishia kusikia tu kwa watu . Kama sio a powerful country this is a stupid policy ever
Halafu hao walioukana uraia wao kisa tu waneemeke kiuchumi huko walipo ni dhahiri watakuwa tayari kuihujumu nchi yao ya Asili. Kwanza ndio wanaoongoza huko mitandaoni KUITANGAZA VIBAYA TANZANIA. HAKUNA DIASPORA ALIYEWAHI KUISEMA VEMA SERIKALI TANGU NYERERE YUPO MADARAKANI. .
 
shida ni kwamba kichwa chako kimejaa kamasi tu, na hauna exposure. ungeongea hoja, kwako wewe uraia pacha una madhara gani? inakuathiri nini wewe kama Tanzania itakuwa na uraia pacha? mbona nchi zingine zenye uraia pacha zina ishi vizuri hata kuliko tanzania?
Umetoka kwenye familia yenu ukahamia kwa jirani na kwasababu ya utajiri wa huyo jirani akakuambia ili uwe mwanafamilia yao basi mkane baba, mama na ndugu zako ambao ni maskini, na wewe kwasababu umeona utakula pilau na kuku ukaamua kuikana familia yenu ( Siwajui watu hawa).

Sasa tena familia uliyoikana unataka ikutambue na kukupa haki zote LAKINI UENDELEE KUWA TOTO PENDWA KWA TAJIRI. Je huyu baba yako wa kufikia akikuelekeza kufanya jambo baya au hujuma UTAKATAA? OBVIOUSLY YOU WILL SAY " YES I WILL".

Uraia pacha kimsingi una faida kubwa sana kwa hayo mataifa makubwa na moja ya malengo yao ni kutengeza puppets kwa mataifa mengine. Kwa nchi masikini hakuna faida zaidi ya kuhujumiwa na hao wenye uraia pacha.

Waliosoma Cuba wanaelewa
 
Hili suala la Uraia pacha serikali ichukue maamuzi magumu ilikubali sambamba na kuifanya bandari zetu kuwa duty free.

Haiwezekani, unakomaa na lisheria ambapo baadhi ya watu unatambua kuwa Wana uraia pacha unawatambua kama Watanzania ila wengine unasema unawapa hadhi maalumu

Wawe wazi kama kanisa Katoliki ambao Pombe, kitimoto wameruhusu na wanavibariki kama vyakula na bado wapo poa tuu hakuna tatizo lolote, tofauti na wale machoni pa watu wanakomaa kuwa ni haramu lakini wakiwa chobinga wanamwagilia Moyo kwa pombe na kujenga afya kwa mdudu huku wakijua Mungu wanayemdanganya anawaona
[emoji23][emoji23]Salamaleko
 
Kuchezea timu ya England under 17 hakumzuii kuchezea taifa lingine ambalo ni raia!! Kwa mujibu wa FIFA alikukuwa na haki ya kuchezea England kwa sababu alizaliwa England kwa hiyo ni muingereza kwa kuzaliwa. Lakini kwa kuwa baba yake ni Mtanzania, anaweza kuomba uraia wa Tanzania na kustahili kuchezea Taifa la Tanzania. Ila kama angechezea Timu ya wakubwa ya uingereza hata mara moja tu, hapo asingekuwa na haki ya kuchezea Timu ya Taifa ya nchi yoyote nyingine!! Hiyo ni mkwa mujibu wa FIFA. Mtu mmoja hawezi akachezea timu zaidi ya moja ya Taifa katika maisha yake!!
Huyo dogo ana uraia wa England, CCM na shetani ni ndugu yaani washa tuona sisi wengine kama mifugo wao ndio wana haki na hii nchi
 
Ww ndo ujui . Kuna a lot of effects from political interference to economic interference . Uraia pacha ni country system failures . Yani mtu wa Norway agombee Ubungo Tanzania Akiwa raia wa Norway . Anaweza kuwa corrupt and then extradiction and law interference ikawa ngumu . Uraia pacha ni mbaya sana na very few countries implement it . Ww ndo akili huna . Kichwani matope . Ujui kitu . Exposure yako imeishia kusikia tu kwa watu . Kama sio a powerful country this is a stupid policy ever
kama ana manufaa kuna ubaya gani? hapa bongo hatuja wahi kua na wabunge wahindi na warabu?
 
kama ana manufaa kuna ubaya gani? hapa bongo hatuja wahi kua na wabunge wahindi na warabu?
Try it tutajuta aisee . We shouldn’t even talk about it . Kama sio super power very few countries use that
 
Alikuwa hajatimiza miaka 18 kwahyo uwenda alikuwa bado hajafanya maamuzi ya uraia wake
 
Kuhusu kuchezea hizi timu za under 17 na under 20 hakuna kikwazo kwa wachezaji kwa taifa atakalohitaji kutumikia. Lkn ukicheza timu ya wakubwa ya taifa fulan huwez jucheza timu yeyote dunian hivyo huyu mchezaji alikuwa bado na option either achezee england or tanzania na kwavile amevaa jezi ya tz ya wakubwa kamwe hatochezea england maana yake ameopt kuchezea tanzania
Unazingua wewe Prince Boateng kachezea Ujerumani ya wakubwa na Ghana pia.
 
Umesema mzazi wake mmoja ni Mtanzania na mwingine anatoka kile kisiwa Cha Uingereza?

Kama ni hivyo akiwa chini ya miaka 18 basi Mnoga atakuwa na Uraia pacha yaani ni Mtanzania na Muingereza kwa wakati mmoja.

Hivyo alikuwa na haki ya kucheza Uingereza au Tanzania under nini huko.

Akifikisha miaka 18 atachagua uraia anaoutaka either apewe Utz au Ubrtish

Ila mpaka Sasa jibu unalo ameshachagua uraia Gani?
Uraia kama mkazi wa nchi husika anabaki nao ule ule ila ni kwenye soka tu ndio anatambulika kama raia wa nchi nyingine. Kama uyo dogo kwa upande wa uraia bado ni muingereza ila kwenye soka tu ndio kachagua kucheza Tanzania. Mfano Diego Costa kisheria anatambulika kama raia wa Brazil ila kwenye soka alichagua kucheza Spain.
 
Back
Top Bottom