Wala si uongo wanaongea tu hapa, tena utakuta mwanamke mwenyewe si mkewe ni dangaji tuDuh ila hii huwa inatokea sana sema wengi wanakana
Watu wapo tayar wahonge gari,nyumba,simu bei mbaya kwa wanawake kuliko kumtumia mama vocha hata ya jero au kumtumia laki moja kila mwezi
Yaani tena ntaona farahari sana na namwambia kabisa huyo dem mamangu anatupenda sana na sahani napokea kwa mikono miwili kwa kutabasamu huku nkisema ahsante mama na hapohapo naondoka kwenda alikosema niendeUmetulia ZAKo KWENYE Sherehe na MTOTO mkali Unamtongoza maraa MAMAAKO anakuja na Sahani Limeja wali
"WEKa Kwenye RAMBO kubwa Mkale na WADOGo zako mie LEO sipiki Tena na OLE WAKO Ule Njiani " [emoji13][emoji13]Unaweza SEMA mama mie sio mwanao, mwanao Katoka hapaa sio Muda[emoji23] issue Utarudia Wapiii??
Umetulia ZAKo KWENYE Sherehe na MTOTO mkali Unamtongoza maraa MAMAAKO anakuja na Sahani Limeja wali
"WEKa Kwenye RAMBO kubwa Mkale na WADOGo zako mie LEO sipiki Tena na OLE WAKO Ule Njiani " [emoji13][emoji13]Unaweza SEMA mama mie sio mwanao, mwanao Katoka hapaa sio Muda[emoji23] issue Utarudia Wapiii??