Inaruhusiwa kusali baada ya ngono kwa wasio na ndoa?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Binafsi nina mke ila hili swali nimelikuta huko jukwaa lingine la kimombo nimeona nilete humu kuongezana maarifa

Ni maswali yanayoonekana ni ya kipuuzi ila yana umuhimu kujua.

Mida ya usiku wa giza ndio mengi ya giza hufanyika na hata nguvu za giza kutawala, yapasa mtu kabla hajalala aombe kwa Mungu ulinzi ili aamke salama.

Sasa basi hii ndio inakiwaga mida kunako kufanya tendo ili kupunguza kiwanda, Wanawake tunawalala na hatimae kupunguza kiwanda ila pia kuna wazee wabishi wanaogeuza mikono kuwa kama uke na kujimwagisha shahawa.

Hakunaga marefu yasiyo na ncha, shughuli ya kupunguza kiwanda ikiisha zoezi linalofata ni kulala.

Sasa je, mtu alietoka kumwaga shahawa ikiwa hajashirikiana na mke wake halali katika zoezi hizo, anaweza bado kuomba kwa Mungu?

Binafsi naona ni kama kumuongezea Mungu hasira kwamba unamchukulia poa
 
KUZINI [emoji777][emoji777][emoji777]
CHAPUTA [emoji777][emoji777][emoji777]
WANANDOA [emoji818][emoji818][emoji818]

SOMO: Bakini safi mpaka siku mtakapooa au kuolewa hata kama ni hukoooo 40+. Kufanya vinginevyo ni dhambi [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mwenyezi Mungu anawanyeshea mvua walio na dhambi na wasionayo, iweje ushindwe kusali et kisa umefanya dhambi fulani.?

Kuna wengi wanafanya zaidi ya hayo na ibadani wako kiti cha kwanza.
 
Kama ni puii fresh tu mbona imeruhisiwa maana hata maandiko yamesema raha jipe mwenyewe
 
Bora wewe umekuta hilo swali,nilijitia ukiherehere nikaingia dark web nilikuta mtu kauliza ati "akimzika mtu kwenye mchanga wa fukwe futi sita je,halufu itasikika..?"

Na Kuna mimtu ilimjibu tena mengine yakaanza mtajia na njia rahisi kabisa za kupoteza mwili..!!
It's like joke but ndo Mambo ya dark web hayo..😅

Mkuu mi naona hao wenye ndo wanaweza fanya ibada maana ndoa kidini imebarikiwa na wanaemuabudu so no problem hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…