Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
wabunge wa ccm wote sina hamu naoToa mifano ya wabunge ambao wananchi hawana hamu nayo.....
Otherwise itakuwa n porojo tu....
bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wabunge wa ccm wote sina hamu naoToa mifano ya wabunge ambao wananchi hawana hamu nayo.....
Otherwise itakuwa n porojo tu....
mambo mengine unyamaze dogo sio mpaka vijana wafukue makaburiUnadhibitije kitu kilichokufa?
Hivi kikao cha UKAWA mwisho wake ilikuwa ni lini?
Spika mwenyewe Ndugai, mtu aliyetakiwa kwenda jela kwa shambulio.Watu mbalimbali na kwa nyakati tofauti,wanasema bunge letu kwasasa halijui wajibu wake,wabunge hawajui wahoji nini na hawajui wamwajibishe nani,wamekua ni watu wa kutoka nje na kusema ndiyo,hata hivyo wabunge wengi hawajui wananchi wao wanataka nini.
Mpaka sasa wabunge wasasa hawana uhakika kama watashinda ubunge msimu ujao mana wananchi wao hawana hamu nao kabisa.
Wanajua wanachokifanya: ni kuzira tu kwenda mbele, ila cha ajabu hawaziri siku nzima sababu wanajua watakosa pesa ya siku!Watu mbalimbali na kwa nyakati tofauti,wanasema bunge letu kwasasa halijui wajibu wake,wabunge hawajui wahoji nini na hawajui wamwajibishe nani,wamekua ni watu wa kutoka nje na kusema ndiyo,hata hivyo wabunge wengi hawajui wananchi wao wanataka nini.
Mpaka sasa wabunge wasasa hawana uhakika kama watashinda ubunge msimu ujao mana wananchi wao hawana hamu nao kabisa.
Watu mbalimbali na kwa nyakati tofauti,wanasema bunge letu kwasasa halijui wajibu wake,wabunge hawajui wahoji nini na hawajui wamwajibishe nani,wamekua ni watu wa kutoka nje na kusema ndiyo,hata hivyo wabunge wengi hawajui wananchi wao wanataka nini.
Mpaka sasa wabunge wasasa hawana uhakika kama watashinda ubunge msimu ujao mana wananchi wao hawana hamu nao kabisa.
upeo wangu wote ni wa Kizungu
Brother umebwabwaja,scientifically Hakuna mbingu wala Mungu!Ukiona Mtu anaishi kwa kusema neno inasemekana au anaishi kwa dhania fulani juu ya jambo fulani au mambo fulani automatically jua kuwa huyo Mtu ni Mpumbavu namba moja hapa Duniani na pengine hata Mbinguni. Binadamu wa kweli hatutakiwi kuishi kwa kuhisia vitu au kubashiri isipokuwa tunatakiwa kuwa very scientific na kusimamia katika uhalisia. Muda mwingine namlaumu sana Mungu kwanini kaniumba na hii Black Ngozi yangu wakati najiona kabisa kuwa upeo wangu wote ni wa Kizungu tupu ambao ni wa kuona mbali na kupenda maendeleo zaidi na siyo huu Uswahili Uswahili wetu wa kuishi kwa hisia au inasemekana.