Hahaa! Yohana mvinyo, kweli lazima wote tupombeke. Chizi kapewa rungu.Bunge halijakosa mwelekeo Ila limebadili mwelekeo.Badala ya bunge kuicmamia serikali sa hivi inafanya kaz ya kutekeleza maagizo yatolewayo na Boss.
Mawaziri nao wameufyata wizara zmebaki zikisimamiwa na PhD ya Yohana Wine, kila abiria anafany kaz kumfurahisha dreva wake acje akashushwa njiani.
Njaa za walio wengi zmehamia kichwani hata wasomi wanaruhusu taaluma zao zbakwe.
Sent using Jamii Forums mobile app