mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,227
- 6,670
Ati pia na manungaembe!Hamna ukweli wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati pia na manungaembe!Hamna ukweli wowote
the thing is tanzania ni uswazi koote halafu si wanawake tu watu wengi tunaishi uswazi hata wewe ni mswazi''''''''Inasemekana eeetii mademu wengi humu JF ni wa uswazi, wakina Mwajuma Nikome.
Hii inatokana na post zao na comments zao.
Madem wa geti kali hawaijui JF wao wapo insta, fesibuku na twita.
Miss Natafuta, Shunie
dont take money so serious...muhimu pesa
Mie nipo wa darasa la saba wee ukhuty!NA kila mtu kafika chuo kikuu huku hakuna la saba huku jf [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
katika ushauri mbaya nilioupokea mwaka huu ni huodont take money so serious...
hahaha...bhas dont take life so serious,katika ushauri mbaya nilioupokea mwaka huu ni huo
hapo at list naweza kukuelewahahaha...bhas dont take life so serious,
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]nimepatikana shunie mm
teh teh,sawaaaahapo at list naweza kukuelewa
Hiyo nonsense maana yake ni nini?Non sense
[emoji13] [emoji13] [emoji124]Msamehe tu mleta uzi analala sebuleni kwa shemeji yake ushuani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me naishi Tandale you can imagine [emoji12][emoji12][emoji12]
Itakuwa wew ndo wa kwanza wa la saba humu jf nduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mie nipo wa darasa la saba wee ukhuty!
Itakuwa wew ndo wa kwanza wa la saba humu jf nduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Bila wa Tandale huyoKwa hiyo Mange Kimambi ni wa uswazi..??
Nilichogundua uswahilini kunatoa vipaji... Diamond, na huyu SamataBila wa Tandale huyo