Inasemekana Fred Vunjabei na Poshqueen sasa ni wapenzi

Inasemekana Fred Vunjabei na Poshqueen sasa ni wapenzi

Bora liwe org likiwa fake na umri n kinyaaaa ++++
🤣
Alikuwa mzuri huyu mtt ,1st time namuona ndo kamaliza form 6,anaenda chuo IFM, Yuko na mama ake na baba ake , mchungaji obeid!

Alipofika chuo ,mwaka wa pili ndo heee nashangaa jaq anajiita posh qeen,kafungua duka la chupi, mara papa ,nashangaa picha za zamani zote katoa ameanza kuweka alizobadirisha umbo🙌🙄
 
Tufanye hata yule mama ake posh alijiongeza maana naye ana zigo la kwenda
images (74).jpeg

Before na after nina wanangu walisoma IFM nao wanasema hiko hiko anachosema Tayana-wog.
 
nawe unapokaa mezani ukiwaangalia dada zako wana iphone macho 3 unajua wametoka kugegedwa na wananukia perfume za kiume, unajiskiaje?
🤣🤣🤣🤣 Uzuri mie sina dada.
Wewe kaka kama dada yako anagegedwa kabla ya ndoa basi wee ndio mpuuzi wakutupwa hapa duniani.
Mie ningebarikiwa kupata dada aisee ningejua siku kagegedwa aisee serikali wangenifunga maani ningefanya wanavyofanya taliban...honor killings.
 
Back
Top Bottom