Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rushwa, kama ametoa rushwa kubwa hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule aliyeko nyuma yao si mchezo
Wauza karanga wauza mihogo wauzaHapa tukiweza itakuwa safii sana. Maana pamejengeka ile mwenge ya Miaka ile inarudi sasa upya
moja tuuuUtaratibu unaelekeza alitakiwa apate frame ngapi?
Noma ya nini nawe ichukue ukafanye ndio hoja kwenye operesheni +255!Noma kweli yaani !
Moja kwa watu wenye vigezo gani? Maana GSM ni taasisi na huenda ana Mkataba wa tofauti unaompa majukumu ya kusaidia mambo kadhaa wa kadha eneo lile au kwingine.moja tuuu
Serikali yetu inakumbatia umasikini hivyo wataacha watu watawale pale njeUtunzaji na usafi sasa unahitajika
Ova
Wewe ulibid kiasi gani?Kwa namna alivyo fisadi na kusaidiwa na watendaji wa serikali inawezekana kabisa!
The system is corrupt totaly!
Hapo hakuna cha money talks wala mtu kuwa nyuma yake.Yule aliyeko nyuma yao si mchezo
Ova
Vyovyote vile tunataka stendi iendaneHapo hakuna cha money talks wala mtu kuwa nyuma yake.
System ndo ilichagua kutokana na dau kubwa
Tulia weweTusiendekeze umasikini.
Tusiupende umasikini
Masikini ndo tatizo la dunia
Unataka kujuwa ili iweje?Wewe ulibid kiasi gani?
Ukiambiwa Ulete ushahidi utakuwa tayari?Hapo hakuna cha money talks wala mtu kuwa nyuma yake.
System ndo ilichagua kutokana na dau kubwa
Wewe huna hata biashara ya kuuza karanga unacholalamika ni nini?Noma kweli yaani !