Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Jamani tusileteane nzi! Mimi ndiye nitakayekuwa mwenyekiti wa kuratibu shughuli zote za mazishi pale muda utakapofika. Michango yote itapitia kwangu na mwili utaagwa leaders club! Lazima na yeye aone uchungu wa kuliwa rambirambi! Nitazila na kama roho itamuuma sana basi afufuke aje kunipiga.
Mkuu huogopi "miamala" ya nchi
 
Back
Top Bottom