gachuru one
Senior Member
- Oct 31, 2014
- 119
- 52
Gari nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo yanatosha kabisaIST zina engine nzuri, kwa generation ya kwanza vinatumia 1.3L 2NZ-FE au 1.5L 1NZ-FE ambazo ni engine nzuri zimetumika kwenye Corolla.
Tatizo watumiaji au wamiliki wengi wa hizi gari kwakua wameshaambiwa ni cheap ku-maintain basi ndii hawafanyi maintenance kabisa. Wamekalili Toyota engine ina last forever.
Mostly hawabadirishi oil on time, ATF, mabush etc.
Ila kikimpata mtu ambae sio bahiri na anapenda gari lake, hiki kidude kinaweza kufika 300k kilometres.
Usisikilize watu ishi maisha unayomudu. Ukiona maisha ni magumu, ujue unaishi juu ya budget yakoKwa sisi wazee wakungaunga mtonyo wajuzi wanasema ist ndio gari nzuri ya kuanza nayo maisha.
Wajuzi wameenda mbali na kusema ulaji wa mafuta wa gari hili ni mdogo sana. Hata service zake ni uhakika.
View attachment 2950673
Hahahaha200k mileage chali
Hiko ni ki mkebe usikubali maisha ya shida
Kataa ndoa
kataa IST
Mi nakuja(ga) kuchekea humu, maana humu nje maisha ni mparangano 😜Hahaha. Humu JF kwenye mada zake kama umekosa kabisa la kukufanya ucheke basi una tatizo kubwa mno.
Kinaweza kufika shilingi elfu ngapi?Niuze baiskeli yangu Avon nidake mchuma huo.Kwa sisi wazee wakungaunga mtonyo wajuzi wanasema ist ndio gari nzuri ya kuanza nayo maisha.
Wajuzi wameenda mbali na kusema ulaji wa mafuta wa gari hili ni mdogo sana. Hata service zake ni uhakika.
View attachment 2950673
Yani wewe ndo hujui gari kabisa... prius gari shepu mbaya ndo unashauri mtuHamna gari hapo.
Bora uchukue Toyota Prius kama unahitaji gari haitumii mafuta sana.
Uwezo wako ndio uta determine unaanza na gari gani, wakati wewe unaona ist, wenzio wanaona rav 4 , wanapna subaru txKwa sisi wazee wakungaunga mtonyo wajuzi wanasema ist ndio gari nzuri ya kuanza nayo maisha.
Wajuzi wameenda mbali na kusema ulaji wa mafuta wa gari hili ni mdogo sana. Hata service zake ni uhakika.
View attachment 2950673
Bei ya kuagiza unaongeza kidogo unachukua harrier
Kama unataka muonekano chukua Range Rover.Yani wewe ndo hujui gari kabisa... prius gari shepu mbaya ndo unashauri mtu
Anaweza asitamani tena kununua gari!! German dogs inatakiwa kuwe na back up car, yani unanunua BMW au AUDI kama gari ya pili au ya tatu sio gari ya kuanzia maishaHapana kaka achana na hiyo gari sio unyama.
Kama unataka gari ya kuanzia, kanunue AUDI A4, BMW 3 series, Mercedes C class au kama mnyonge sana nunua Toyota Crown GRS 180 hapo
Usikae kinyonge. Ukitoka hapo utakua umejifunza mengi
Sasa kweni IST gharama za utunzaji ni kubwa?Kama unataka muonekano chukua Range Rover.
Mtoa mada anahitaji gari ambayo gharama za utunzaji na uendeshaji ni ndogo kama umemuelewa.