Inasemekana huyu mzee bado anaendelea kumkimbiza Mzize mpaka leo

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Itakuwa vigumu sana kuja kuwaaminisha wajukuu zangu kwamba huyu beki alikuwa mbele kabla mzize hajampita na kutoa assist moja kali sana, Na huyo ndiye beki wao tegemezi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mnatia aibu kwakweli...πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ™ƒ
 
Tanzania imejaa mijitu mwingine minjinga sana,

Jamii forums imekuwa jukwaa la wajinga kutapika upuuzi wao!

Uzi hauna maana yoyote na bado mods wanaungalia tu. StpD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…