Inasemekana Ivan the Don hajafa

Kafa kama wanavyokufa viumbe wengine, asife yeye kiumbe gani au pesa alizokuwa anatupia insta mtoa roho ata hogwa ili asitolewe uhai
 
Watu wa insta akili zimeganda eti $500M hivi mnacheza na hiyo pesa
 
Style ya kujiliwaza kwenye mitandao maisha yakiwa magumu. ........
 
Hata tupac walisema hivo,wenzio wanaliwa na funza huko chini ya udongo halafu wengine mnasema hajafa ngoja mwenyewe aje aseme kama ni kweli hajafa
 
Hata kanumba walisema hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…